Waandaaji Kaz na Nini hutangaza kipindi hicho kila Ijumaa kuanzia saa sita mchana
Bodi inayofuatilia
inayofuatilia ujumbe wa filamu nchini Kenya imeonya kwamba itachukua
hatua dhidi watengenezaji wa vipindi vya mazungumzo ya ngono
,vilivyozinduliwa mwezi Aprili, ikiwa uchunguzi utabaini kwamba wamekuwa
wakivunja sheria.
Taarifa iliyotolewa na mkurugenzi mkuu wa Bodi
ya Filamu ya kenya Ezekiel Mutua inahusu kipindi kinachofahamika kama
" cha kwanza cha wapnzi wa jinsia moja wa kike cha TV kinachoongozwa na
wapenzi wa jinsia moja maarufu wa kike ".