Monday 27 April 2015

mabomu yarindima Arusha, wanafunzi wa Patandi teaching College waandamana na kufunga barabara

Image result for mgomo wa chuo
Jeshi la kutuliza Ghasia wakifyatua mabomu ya machozi kuwatawanyisha waandamanaji
Mabomu ya rindima Arusha tena baada ya wananfunzni wa chuo cha ualimu Patandi kufunga barabara kuu ya Moshi Arusha maeneo ya Tangeru, ili kuishinikisa serikali ya jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kumwondoa au kumfuta kazi Mkuu wao wa chuo,
Mwandishi wetu aliyekuwepo katika eneo la tukio alimtafuta rais ya seriikali ya wanafunzi wa chuo hicho na kumhoji “Alisema chanzo cha Mgomo huo ni tabia ya mkuu wa chuo kuwakandamiza na kuwanyima uhuru wao wa kufanya mambo , aliongeza kwa kusema Mkuu wetu wa chuo huwa anatushinikiza kuchapisha na kutoa kopi za “notes’kwa ajili ya kusoma katika stationary yake angali zipo stationary nyingi chuoni pia amekuwa akiwalazimisha wanachuo kula katika mgahawa wake (Cafeteria) huku ikitoa huduma kwa gharama ya hali ya juu, hivyo kufanya wanafunzi hao kushindwa kuhimili hali ya maisha katika chuo hicho
Image result for mgomo kufunga barabara
Askari wakitunza usalama
Pia mkuu wa chuo hicho aliwazidishia hasira wanachuo hao kwa kupiga makofi mwanafunzi  hii nai baada ya mwanafunzi huyo kuchukua kibali toka kwa mkufunzi wa zamu ili akasuke nywele zake ndipo alikutana na mkuu wa chuo na kumdai kibali na kukichana , haikutosha aliitisha wita mwanafunzi huyo ofisin na kumpiga kipara nywele zake , wanafunzi wenzake walipona kuwa mkuu wao  kamdhalilisha huku akijua kuwa mwanafunzi  huyo ni mjamzito , Kitu ambacho serikali ya wanafunzi wa chuo iliona ni unyanyasaji wa hali ya juu  ndipo walipoona wafunge barabara kwa kuchoshwa na tabia za Mkuu wao wa chuo .

No comments: