Thursday 23 April 2015

Timu maarufu sana Dunian hizi hapa

liverpoolLiverpool inaongoza uingereza,Arsenal na Chelsea zimegawana ulaya na Manchester united ni baba lao bala zima la asia.
Takwimu hizi zimetolelewa na mtandao wa kijamii wa twitter ambao umehusisha klabu 20 duniani,
Arsenal imeongoza  Amerika ya kaskazin Na ssehemu kubwa ya laya ikiwepo austaria yote.
Manchester united imefatwa na mashabiki wengi wanaotokea bara la asia wakat Chelsea ikiwa na nguvu zaidi bara la amerika kusini
Liverpool inaonekana kusuasua sana mwaka huu na hata kupoteza matumaini ya kushiriki michuano ya klabu bingwa ulaya lakini hilo hililipi tabu klabu hiyo yenye maskani yake pale Merseyside na kuwa klabu inayoongoza kuwa na mashabiki wengi uingereza.
Arsenal inawatu wengi hasa pale London ya kusini mashariki na kuwafanya wapinzani wake wa wa karibu kutoka jiji hilo Chelsea na tottenham kuwa wanawafukuza kwa mbali.
man utd
Katika jiji la  Manchester ,  Louis van Gaal ameongeza msisimko na kuongeza kutawala eneo mbali na Gorton ambapo wapinzani City ni maarufu zaidi.
 Chelsea imetupwa  nje ya London na Arsenal, na kwa  msaada wa nguvu visiwani vya Magharibi, wakati vilabu kama Newcastle, Sunderland, Hull City, Burnley, Stoke City, Leicester City, Aston Villa, Swansea na Southampton kutawala maeneo yao ya ndani.

No comments: