Friday 20 December 2013

KIINGILIO MECHI YA MTANI JEMBE 5,000/=

Kiingilio cha chini kwenye mechi ya Mtani Jembe kati ya Simba na Yanga itakayochezwa Jumamosi (Desemba 21 mwaka huu) ni sh. 5,000. Kiingilio hicho ni kwa viti vya rangi ya kijani ambavyo ni 19,648.Kwa upande wa viti vya rangi ya bluu kiingilio ni sh. 7,000, viti vya rangi ya chungwa itakuwa sh. 10,000, VIP C kiingilio ni sh. 15,000, VIP B itakuwa sh. 20,000 wakati VIP A yenye viti 748 tu tiketi moja itapatikana kwa sh. 40,000.Tiketi zitaanza kuuzwa siku moja katika vituo mbalimbali, mchezo huo utafanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuanzia saa 10 kamili jioni.Vituo ambavyo tiketi hizo zitauzwa keshokutwa (Ijumaa) ni Shule ya Sekondari Benjamin Mkapa, Sokoni Kariakoo, mgahawa wa Steers ulioko mtaa wa Ohio/Samora, Oilcom Ubungo, Kituo cha Mafuta Buguruni, Dar Live Mbagala, Uwanja wa Uhuru, na BMM Salon iliyoko Sinza Madukani.Mechi hiyo itachezeshwa na Ramadhan Ibada (Kibo) kutoka Zanzibar, ambapo atasaidiwa na Ferdinand Chacha wa Bukoba, na Simon Charles kutoka Dodoma. Mwamuzi wa aki

http://ukomboz.blogspot.com/2013/12/kiingilio-mechi-ya-mtani-jembe-5000_5846.html

Waasi waua watu 1000 Afrika ya Kati

Takriban watu elfu moja wameuawa na waasi wa zamani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati katika mapambano yaliyodumu kwa siku mbili yaliyojitokeza mwezi huu, makadirio haya yanazidi yale ya Umoja wa Mataifa. Shirika la Amnesty International limesema.

Shirika hilo limesema kuwa uhalifu wa kivita bado unaendelea kufanyika nchini humo.
Wanamgambo wa kundi la anti-balaka, Jamhuri ya Afrika ya Kati

Wapiganaji hao ambao wengi wao ni Waislamu walimuondoa madarakani aliyekuwa rais wa taifa hilo, Francois Bozize mwezi March, hali iliyosababisha mgogoro ndani ya jamii nchini humo.

Kiongozi wa waasi Michel Djotodia hivi sasa ni kiongozi wa kwanza kutoka jamii ya Waislamu anayeongoza taifa lenye Wakristo wengi na ndiye kiongozi wa mpito wa Jamhuri ya Afrika ya kati.

Katika ripoti hiyo, Amnesty International imesema waasi wa zamani wa Seleka waliwaua takriban watu 1000 mjini Bangui, kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kulipa kisasi dhidi ya wapiganaji wa Kikristo wanaodaiwa kuwashambulia waasi wa Kiislam.

Idadi ya waliopoteza maisha imeelezwa kuongezeka kuliko ile iliyotolewa na Umoja wa Mataifa ambao ulisema watu 450 waliuawa mjini Bangui na wengine 150 sehemu nyingine nchini humo.

Mashambulio hayo yamekuja baada ya wanamgambo wajulikanao kwa jina la anti-balaka ambao walikuwa wakiingia kila nyumba na kuwaua watu 60 wa jamii ya Kiislamu. Amnesty International imeeleza.
Askari wa Ufaransa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati

Askari wa Ufaransa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati

Mashambulio yaliyofanywa na wanamgambo wa zamani wa Seleka yamehusisha mauaji pia uvamizi na uporaji katika nyumba za raia,ambapo wanawake na watoto kadhaa wameuawa.

Shirika hilo limesema kuwa raia huuawa kila siku mjini Bangui, ingawa kumekuwepo na vikosi vya Ufaransa na Umoja wa Afrika, Ufaransa ikiwa na askari 1,600 nchini humo.

Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema wapiganaji wa Kikristo walishambulia jamii ya kiislamu kaskazini mwa mji wa Bossangoa na kuwachinja watoto huku wakiwashinikiza wazazi wao kushuhudia mauaji hayo.

Mwanzoni mwa mwezi huu, Rais Djotodia aliiambia redio ya Kifaransa kuwa yuko tayari kuzungumza na viongozi wa wanamgambo wa Kikristo ili kutatua mzozo huo.

Kauli hiyo imekuja baada ya Umoja wa Afrika kuidhinisha kuongeza vikosi vyake na kufikia askari 6,000.

Vikosi vya Umoja wa Afrika na vya Ufaransa vinafanya jitihada za kuwanyang'anya silaha wanamgambo hao.

Thursday 19 December 2013

WEMA ANATISHAAAAA !!!!!

WEMA SEPETU NI NOUMAH SANA.ONA ALICHOKIFANYABeautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu hivi karibuni ameachia picha tata kwenye akaunti yake yaMtandao wa Instagram zikimuonesha akiwa ameacha mgongo wazi, jambo lililotafsiriwa na wengi kuwa ameamua kufunga mwaka huu kwa staili hiyo ya kuacha mgongo nje, Wema Sepetu akiwa ameacha mgongo wake wazi.Katika picha hizo, Wema anaonekana kujichora tatoo kibao kuanzia shingoni na kumfanya aonekane tofauti na alivyozoeleka jambo lililofanya wengine wamsifie huku wengine wakimponda mbaya.“Sasa Wema kujichora hivyo mgongoni ndiyo nini? Bora ungeuacha mgongo wako kama ulivyokuwa zamani,” alichangia mmoja wa wadau na kuungwa mkono na wenzake.Alipovutiwa ‘waya’ Wema ili kumuuliza kulikoni ameamua kupiga picha za kuuanika mgongo wake, simu yake ilikuwa ikiita bila kupokelewa. http://ukomboz.blogspot.com/2013/12/wema-anatishaaaaa.html http://ukomboz.blogspot.com/2013/12/wema-anatishaaaaa_19.html http://ukomboz.blogspot.com/2013/12/wema-anatishaaaa

http://ukomboz.blogspot.com/2013/12/wema-anatishaaaaa_7258.html

WABUNGE WAUMBUANA HADHARANI

Dodoma. Wabunge jana waliumbuana kuhusu matumizi mabaya ya fedha za umma huku Kiongozi wa Kambi ya Upinzani, Freeman Mbowe akituhumiwa kuagiza kubadilishwa kwa tiketi ya ndege ya Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Joyce Mukya ili afupishe ziara yake ya kikazi huko Marekani na kwenda Uarabuni kwa shughuli binafsi.(EL).Mbali ya Mbowe, Mbunge wa Mbozi Mashariki, Godfrey Zambi (CCM) anadaiwa kuchukua posho ya Kamati ya Hesabu za Bunge (PAC), kwa safari ya kwenda Dubai na wenzake lakini badala yake akaenda Mbeya kwenye ziara za chama chake.Malumbano hayo yaliibuka jana baada ya Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba (CCM), kuomba mwongozo wa Spika akitaka kufahamu kauli ya ofisi yake kwa Mbowe kutumia nafasi yake kumrudisha mbunge ambaye ameshatumia fedha za Serikali.Alidai kwamba Mbowe aliagiza Mukya aanze safari Desemba Mosi, mwaka huu kutoka New York, Marekani ili aende Dubai, Falme za Kiarabu (UAE) kabla ya kwenda Dar es Salaam, Desemba 3, mwaka huu.Alipoulizwa kuhusu tuhuma hizo j

http://ukomboz.blogspot.com/2013/12/wabunge-waumbuana-hadharani_1390.html

WEMA ANATISHAAAAA !!!!!

WEMA SEPETU NI NOUMAH SANA.ONA ALICHOKIFANYABeautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu hivi karibuni ameachia picha tata kwenye akaunti yake yaMtandao wa Instagram zikimuonesha akiwa ameacha mgongo wazi, jambo lililotafsiriwa na wengi kuwa ameamua kufunga mwaka huu kwa staili hiyo ya kuacha mgongo nje, Wema Sepetu akiwa ameacha mgongo wake wazi.Katika picha hizo, Wema anaonekana kujichora tatoo kibao kuanzia shingoni na kumfanya aonekane tofauti na alivyozoeleka jambo lililofanya wengine wamsifie huku wengine wakimponda mbaya.“Sasa Wema kujichora hivyo mgongoni ndiyo nini? Bora ungeuacha mgongo wako kama ulivyokuwa zamani,” alichangia mmoja wa wadau na kuungwa mkono na wenzake.Alipovutiwa ‘waya’ Wema ili kumuuliza kulikoni ameamua kupiga picha za kuuanika mgongo wake, simu yake ilikuwa ikiita bila kupokelewa. http://ukomboz.blogspot.com/2013/12/wema-anatishaaaaa.html http://ukomboz.blogspot.com/2013/12/wema-anatishaaaaa_19.html http://ukomboz.blogspot.com/2013/12/wema-anatishaaaa

http://ukomboz.blogspot.com/2013/12/wema-anatishaaaaa_3322.html

WABUNGE WAUMBUANA HADHARANI

Dodoma. Wabunge jana waliumbuana kuhusu matumizi mabaya ya fedha za umma huku Kiongozi wa Kambi ya Upinzani, Freeman Mbowe akituhumiwa kuagiza kubadilishwa kwa tiketi ya ndege ya Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Joyce Mukya ili afupishe ziara yake ya kikazi huko Marekani na kwenda Uarabuni kwa shughuli binafsi.(EL).Mbali ya Mbowe, Mbunge wa Mbozi Mashariki, Godfrey Zambi (CCM) anadaiwa kuchukua posho ya Kamati ya Hesabu za Bunge (PAC), kwa safari ya kwenda Dubai na wenzake lakini badala yake akaenda Mbeya kwenye ziara za chama chake.Malumbano hayo yaliibuka jana baada ya Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba (CCM), kuomba mwongozo wa Spika akitaka kufahamu kauli ya ofisi yake kwa Mbowe kutumia nafasi yake kumrudisha mbunge ambaye ameshatumia fedha za Serikali.Alidai kwamba Mbowe aliagiza Mukya aanze safari Desemba Mosi, mwaka huu kutoka New York, Marekani ili aende Dubai, Falme za Kiarabu (UAE) kabla ya kwenda Dar es Salaam, Desemba 3, mwaka huu.Alipoulizwa kuhusu tuhuma hizo j

http://ukomboz.blogspot.com/2013/12/wabunge-waumbuana-hadharani_6533.html

Mji wa Bor, Sudan Kusini wadhibitiwa na wanajeshi waasi

eshi la Sudan Kusini limesema haliudhibiti tena mji muhimu wa Bor, hiyo ikiwa ni mara ya kwanza kwa jeshi hilo kukiri kushindwa katika mapigano yanayoendelea kwa siku ya nne sasa kati ya makundi pinzani ya wanajeshi. Kifaru cha kijeshi kikifanya doria mjini Juba Mapigano hayo makali yanatishia kuitumbukiza nchi hiyo kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe. Msemaji wa Jeshi la Sudan Kusini, Kanali Philip Aguer, amesema leo (19.12.2013) kuwa wanajeshi waasi wanaomtii aliyekuwa makamu wa Rais wa nchi hiyo Riek Machar wameutwaa mji wa Bor.Amesema viongozi katika mji huo ambao ni mji mkuu wa jimbo la Jonglei, hawapokei simu zao, hatua inayoifanya serikali kuu kuamini kwamba wamejiunga na waasi.Kanali Aguer amesema wamepoteza udhibiti wa mji wa Bor na kwamba milio ya risasi imesikika usiku kucha ingawa bado hawana taarifa kuhusu waathirika au watu walioyakimbia makaazi yao kwa sababu operesheni za kijeshi bado zinaendelea.Watu 19 wauawa BorMsemaji wa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, Martin Nesi

http://ukomboz.blogspot.com/2013/12/mji-wa-bor-sudan-kusini-wadhibitiwa-na.html

WABUNGE WAUMBUANA HADHARANI


Dodoma. Wabunge jana waliumbuana kuhusu matumizi mabaya ya fedha za umma huku Kiongozi wa Kambi ya Upinzani, Freeman Mbowe akituhumiwa kuagiza kubadilishwa kwa tiketi ya ndege ya Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Joyce Mukya ili afupishe ziara yake ya kikazi huko Marekani na kwenda Uarabuni kwa shughuli binafsi.(EL).

Mbali ya Mbowe, Mbunge wa Mbozi Mashariki, Godfrey Zambi (CCM) anadaiwa kuchukua posho ya Kamati ya Hesabu za Bunge (PAC), kwa safari ya kwenda Dubai na wenzake lakini badala yake akaenda Mbeya kwenye ziara za chama chake.

Malumbano hayo yaliibuka jana baada ya Mbunge wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba (CCM), kuomba mwongozo wa Spika akitaka kufahamu kauli ya ofisi yake kwa Mbowe kutumia nafasi yake kumrudisha mbunge ambaye ameshatumia fedha za Serikali.

Alidai kwamba Mbowe aliagiza Mukya aanze safari Desemba Mosi, mwaka huu kutoka New York, Marekani ili aende Dubai, Falme za Kiarabu (UAE) kabla ya kwenda Dar es Salaam, Desemba 3, mwaka huu.

Alipoulizwa kuhusu tuhuma hizo jana, Mbowe alisema hawezi kuzungumza chochote kwa kuwa hakuwapo bungeni akisema alikuwa Dar es Salaam kwenye kikao.... "Siwezi kusema lolote mpaka nipate hansard (kumbukumbu rasmi ya Bunge) na kutoka kwa wabunge wangu walioko Dodoma kujua nini kimesemwa."

Akiomba mwongozo Nchemba ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM alisema: "Jambo hili limechukua taswira kama ni Bunge lote linafanya mambo haya na limevunja heshima ya Bunge. Jambo hili linatuvunjia heshima hata watu ambao tuna maadili ya uongozi na tunaliheshimu taifa letu...

"Pamoja na kuwa jambo hilo lilikuwa la binafsi, lakini kuna ujumbe tumeupata kuwa Kiongozi wa Kambi ya Upinzani amemzuia mbunge wake kusafiri na magazeti yakaandika kwamba wana mahusiano. Mimi sipendi kwenda kwenye uhusiano, nataka kwenye taswira ya Bunge na Taifa."

Alisema Bunge linapopanga safari za wabunge linazingatia wa chama tawala na wapinzani ili kuweka uwakilishi.

Nchemba alisema Mbowe ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, aliandika ujumbe mfupi wa simu kwa mtumishi mmoja wa Bunge akitaka kubadilishwa kwa tiketi ya ndege ya mbunge.

Aliusoma ujumbe huo: "Rejea mazungumzo yetu bwana Kabunju kuhusu mheshimiwa Joyce Mukya ambaye yupo safarini. Nitashukuru kama utambadilishia booking (safari) yake ili aweze kurudi, aondoke New York tarehe moja Desemba na kurejea Dubai baadaye ataunganisha kurejea Dar es Salaam by Mbowe kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni nakala kwa Joyce Mukya." Kabunju S. Kabunju ni Ofisa wa Bunge anayeshughulikia masuala ya usafiri.

Nchemba alisema: "Ameshakatiwa tiketi, ameziba nafasi ya kwenda kuliwakilisha taifa kule, anamwita arudi Dubai na ni mbunge viti maalumu. Je, hili lina taswira gani kwa taifa na kiti chako kinatoa kauli gani kwa watu ambao wanakwenda kutumia fedha za Serikali kwa mambo binafsi, Dubai?" alisema.

Pia alitaka kufahamu Bunge linachukua hatua gani stahiki kwa mbunge anapoingilia kazi za kiti na pia watumishi wanapoingiliwa na kubadilisha yale waliyotumwa kwa ajili ya Serikali.

Tuhuma za Zambi

Mbunge wa Mbozi Magharibi (Chadema), David Silinde alisema Nchemba anaegemea zaidi wabunge wa upinzani wakati wapo wa CCM waliochukua posho.

"Mheshimiwa Mwenyekiti, yaliyosemwa na magazeti na mwombaji wa mwisho (Nchemba), alipokuwa anatoa mwongozo amejaribu kuainisha wabunge wa upande mmoja wa upinzani," alisema.

Alimtaja Zambi kuwa alichukua fedha ili kwenda Dubai na wenzake lakini badala yake alikwenda Mbeya wakati Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipokuwa katika ziara mkoani humo. Zambi pia ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mbeya.

"Tunaomba mwongozo wako namna gani hili suala litachukuliwa hatua na wala siyo kufanya propaganda za kisiasa ndani ya Bunge lako," alisema Silinde.

Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Mariam Msabaha alisema kuna mambo mengi yanayofanyika ndani ya Bunge hilo lakini hayasemwi.

"Kuna watu wameandikwa ndani ya magazeti wanaiba vidani licha ya kutosemwa lakini imeonekanika huku. Mambo ya mapenzi ni ya mtu na mtu wake, humu kila mtu ana mpenzi wake," alisema.

Mwenyekiti wa PAC na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe alisema: "Kamati ya PAC ambayo inahusika na masuala ya fedha za umma tayari imeshamwomba Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), afanye uchunguzi kuhusiana na safari zote ili jambo hili liweze kufika mwisho."

Alisema taarifa hiyo itapelekwa kwa Spika na kama atapendezwa italetwa bungeni ili jambo hilo liweze kumalizika.

Akijibu mwongozo huo, Mwenyekiti wa Bunge aliyekuwa akiongoza shughuli za jana asubuhi, Mussa Azzan Zungu alisema: "Nimepokea miongozo yote na kiti kinasema hakina lazima ya kujibu sasa hivi, kitatoa mwongozo baada ya kufikiria na kuyatafakari hapo kitakapopata nafasi."

Hata hivyo, kabla ya kuahirisha Bunge jana mchana, Zungu alisema suala hilo ni la kiutawala na masuala yote yanayohusu masuala ya fedha yanatawaliwa na sheria na kanuni za fedha.

Sakata hilo liliibuliwa bungeni wiki iliyopita na Mbunge wa Nkasi Kaskazini (CCM), Ally Keissy alipokuwa akichangia taarifa ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (Laac)

KWA HABARI MOTOMOTO WAWEZA KUTUTEMBELEA kwa kubofya hapa

WEMA ANATISHAAAAA !!!!!

WEMA SEPETU NI NOUMAH SANA.ONA ALICHOKIFANYA
Beautiful Onyinye wa Bongo, Wema Sepetu hivi karibuni ameachia picha tata kwenye akaunti yake ya
Mtandao wa Instagram zikimuonesha akiwa ameacha mgongo wazi, jambo lililotafsiriwa na wengi kuwa ameamua kufunga mwaka huu kwa staili hiyo ya kuacha mgongo nje,



Wema Sepetu akiwa ameacha mgongo wake wazi.Katika picha hizo, Wema anaonekana kujichora tatoo kibao kuanzia shingoni na kumfanya aonekane tofauti na alivyozoeleka jambo lililofanya wengine wamsifie huku wengine wakimponda mbaya.


“Sasa Wema kujichora hivyo mgongoni ndiyo nini? Bora ungeuacha mgongo wako kama ulivyokuwa zamani,” alichangia mmoja wa wadau na kuungwa mkono na wenzake.
Alipovutiwa ‘waya’ Wema ili kumuuliza kulikoni ameamua kupiga picha za kuuanika mgongo wake, simu yake ilikuwa ikiita bila kupokelewa.

Mji wa Bor, Sudan Kusini wadhibitiwa na wanajeshi waasi

eshi la Sudan Kusini limesema haliudhibiti tena mji muhimu wa Bor, hiyo ikiwa ni mara ya kwanza kwa jeshi hilo kukiri kushindwa katika mapigano yanayoendelea kwa siku ya nne sasa kati ya makundi pinzani ya wanajeshi.
Kifaru cha kijeshi kikifanya doria mjini Juba

Mapigano hayo makali yanatishia kuitumbukiza nchi hiyo kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe. Msemaji wa Jeshi la Sudan Kusini, Kanali Philip Aguer, amesema leo (19.12.2013) kuwa wanajeshi waasi wanaomtii aliyekuwa makamu wa Rais wa nchi hiyo Riek Machar wameutwaa mji wa Bor.

Amesema viongozi katika mji huo ambao ni mji mkuu wa jimbo la Jonglei, hawapokei simu zao, hatua inayoifanya serikali kuu kuamini kwamba wamejiunga na waasi.

Kanali Aguer amesema wamepoteza udhibiti wa mji wa Bor na kwamba milio ya risasi imesikika usiku kucha ingawa bado hawana taarifa kuhusu waathirika au watu walioyakimbia makaazi yao kwa sababu operesheni za kijeshi bado zinaendelea.

Watu 19 wauawa Bor

Msemaji wa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, Martin Nesirky amesema raia 19 wameuawa katika mji wa Bor, akifafanua kuwa taarifa hizo zimetolewa na shirika la Msalaba Mwekundu nchini Sudan Kusini.
Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini

Amesema wasiwasi pia umeongezeka katika majimbo ya Unity na Upper Nile na mji wa Torit na mapigano yamesambaa katika miji mingine ya taifa hilo tajiri kwa mafuta.

Waziri wa Habari wa Sudan Kusini, Michael Makuei Lueth, amesema kiasi watu 500, wengi wao wakiwa wanajeshi, wameuawa na wengine 700 wamejeruhiwa katika mapigano hayo yaliyoanza wakati wa jaribio la mapinduzi mwishoni mwa wiki iliyopita.

Rais Salva Kiir amesema yuko tayari kuanza mazungumzo na makamu wake aliyemfukuza kazi mwezi Julai, Riek Machar. Kiir anamlaumu Machar kuhusika na jaribio la mapinduzi lililoshindwa na kwa kuanzisha mapigano. Hata hivyo, Machar amekanusha madai hayo.

IGAD na juhudi za kumaliza mapigano

Wakati huo huo mawaziri wa mambo ya nje kutoka mataifa manne ya Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Mashariki na Pembe ya Afrika-IGAD,

Nembo ya IGAD

wameelekea Sudan Kusini kuanza juhudi za kumaliza mapigano hayo yanayozusha hofu ya kugeuka kuwa vita vya wenyewe kwa wenyewe. Mawaziri hao wanatokea Kenya, Djibouti, Ethiopia na Uganda.

Kwa upande wake Marekani imeelezea wasiwasi wake mkubwa kuhusu mapigano ya Sudan Kusini, huku Waziri wake wa mambo ya nje, John Kerry akitoa wito wa kuwepo utulivu. Marekani na Uingereza zimeanza kuwaondoa wafanyakazi wake kutoka Juba.

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-Moon alisema jana Jumatano (18.12.2013) kuwa Sudan Kusini inakabiliwa na mzozo wa kisiasa ambao unaweza ukasambaa zaidi na unatishia kuitumbukiza nchi hiyo kwenye mapigano ya wenyewe kwa wenyewe.

Maelfu ya raia wa Sudan Kusini wameyakimbia makaazi yao na kwenda kutafuta hifadhi kwenye ofisi za Umoja wa Mataifa tangu yalipozuka mapigano siku ya Jumapili.

Mwandishi: Grace Patricia Kabogo/APE,RTRE,AFPE
Mhariri: Ssessanga Iddi
Anitha baada ya kunasa katika mtego wa OFM.OFM Kanda ya Ziwa, kikiwa ni kitengo kipya kilichoteuliwa rasmi kushughulikia kadhia za mikoa yote inayozunguka Ziwa Victoria kilinasa tukio hili laivu na kulifuatilia kwa kina ili kutoa ukweli kamili kwa jamii.
HABARI KAMILI
Timu yetu ilishuhudia binti huyo akiwa amechanganyikana na mabinti wengine wakubwa wakijiuza kwa wateja wa baa mbalimbali katika eneo la Mabatini jijini hapa huku wakitumia gesti bubu iliyopo maeneo hayo.
Kwa siku tatu mfululizo, mapapazari wetu walimfuatilia na kujionea namna binti huyo mdogo akichukuliwa na mababa watu wazima na kwenda kula nao uroda kwa nyakati tofauti.


Anitha akivaa nguo zake baada ya kunaswa akifanya ukahaba.AINGIA MTEGONI
Ili kupata ushahidi wa tukio hilo, makamanda wetu waliingia mzigoni na mmoja wao akajifanya mteja ambapo alimtokea binti hiyo ambaye alikubali kwenda kulala naye kwa dau la shilingi 5,000.
Binti huyo aliyejitambulisha kwa jina la Anitha aliongozana na kamanda wetu hadi ndani ya gesti bubu inayotumika kwa uchafu huo bila kujua kwamba alikuwa ameingia ‘choo cha kiume’.


Anitha akiohojiwa baada ya kunaswa akiwa kazini.OFM KAZINI
OFM wakiwa na wadau wengine waliokubali kushiriki katika zoezi hilo ambalo ni aibu kwa uongozi wa jiji hili na serikali kwa jumla, walikuwa tayaritayari jirani na gesti hiyo wakisubiri maelekezo kutoka kwa kamanda aliyeingia na changudoa huyo mtoto.
Vifaa vya mawasiliano vya OFM vilifanya kazi yake vyema ambapo kamanda aliyekuwa chumbani alitoa maelekezo kwa wenzake kuwa changudoa yule, alikuwa amesaula ndipo wakaingia na kufotoa picha za kutosha.
MSIKIE MWENYEWE
Alipogundua kuwa kumbe ulikuwa mtego wa kumnasa aliomba asamehewe kwa madai kwamba alilazimika kufanya vile kwa lengo la kujitafutia maisha kwa vile kwao hali ni mbaya.

“Jamani mimi ni mdogo, nina miaka 17, sina baba wala mama na hali ya maisha ni ngumu ndiyo maana niliamua kuingia kwenye biashara hii,” alisema Anitha.
Hata hivyo, uchunguzi wa Risasi Mchanganyiko, umeonyesha kuwa, Anitha ni muongo kwani ametoroka nyumbani kwao Mahina, Nyakato ambako alikuwa akiishi na wazazi wake na kukatisha masomo yake akiwa kidato cha pili.


Chumba alipokutwa Anitha kitandani pakiwa na kinga.WAZAZI SOMENI HAPA
OFM inatoa wito kwa wazazi kuwa makini na malezi ya watoto wao kwa kuwafuatilia mara kwa mara ili wasiharibike na kuiga tabia kama ya Anitha. Aidha, wazazi wa Anitha wanapaswa kuchukua hatua za makusudi kumwondoa binti yao katika biashara hiyo mbaya inayohatarisha usalama wa afya yake.

UGOMVI WA KIMAPNZ WASABABISHA MUME KUUA MTOTO WA KAMBO HUKO IRINGA

Mwenyekiti wa mtaa wa pangani kata ya Makorongoni mjini Iringa Salum Kibaya akiutazama mwili wa mtoto Raymond Ben Mangungu (2) aliyeuwawa kwa kukabwa shingo na baba wa kambo wakati wa ugomvi wa kimapnzi kati ya mwanaume huyo na mama wa mtoto huyo usiku wa leo.
Askari polisi akitazama mwili wa mtoto huyo.
Hali ilivyokutwa ndani ya chumba hicho baada ya tukio.
Wananchi wa Makorongini wakimtazama mwanamke huyo wakati akihojiwa na kaka wa mtuhumiwa wa mauwaji hayo.
Mama wa mtoto Raymond katikati akimsimulia shemeji yake jinsi ambavyo mpnzi wake alivyoua mtoto ,kushoto ni mama mzazi wa mwanamke huyo.Huyu ndie mzazi wa mtoto aliyeuwawa Bi Kudra Kahemela (23)Wanawake wa mtaa wa Pangani Iringa wakiuhifadhi mwili wa mtoto Raymond leo.
KATIKA hali isiyo ya kawaida mwanaume mmoja mkazi wa mtaa wa Pangani kata ya Makorongoni katika Manispaa ya Iringa Hamis Said maarufu kwa jina la Mwarabu amemuua kinyama mtoto Raymond Ben Mangungu (2) kutoka na ugomvi wa kimapnzi kati yake na mama wa mtoto huyo ambae kwake ni mpnzi wake .
Imedaiwa kuwa mtuhumiwa huyo wa mauwaji ya mtoto huyo alikuwa amelewa pombe kupita kiasi na si mara ya kwanza kulewa kiasi hicho na kutishia kufanya mauwaji dhidi ya mtoto huyo wa kambo kwa kile alichokuwa akidai kuwa ni fedhea kwake kuishi na mwanamke ambae ana watoto wawili ambao si damu yake.
Wakizungumzia juu ya tukio hilo mashuhuda wa tukio hilo kwa sharti la kutotaja majina yao walisema kuwa imekuwa ni kawaida kwa Mwarabu kumpiga mwanamke huyo na familia yake kwa madai kuwa hataki kuwaona watoto hao wakiendelea kuishi katika nyumba hiyo ambayo ameipanga yeye .
" Huyu bwana Mwarabu alikuwa akifanya kazi ya kuuza korosho mitaani na akirudi usiku amekuwa mkali kwa mwanamke huyo ambae alikuwa akidai kuwa bado amekuwa na mahusiano na baba wa watoto hao wawili .....hata hivyo sisi kama majirani tumekuwa tukishindwa kuwaamua kutokana na mwanaume kuwa na tabia ya kulewa pombe kupita kiasi na hata tukio hili tulijua ni kawaida yao "
Mtoto Tinito Mangungu (6) ambae ni kaka na marehemu alisema kuwa baba yao huyo mdogo alifika usiku na kuwataka wote kuamka kitandani na kuwa hakuna mtu atakayelala katika chumba hicho kama si damu yake.
"Baba mdogo (Mwarabu) alirudi usiku akiwa amelewa na kusema hakuna mtu kulala kitandani na kuanza kumpiga mama kwa meza na viti huku sisi tukilia kumtaka asimpige mama yetu....baada ya hapo alimchukua mdogo wangu na kuanza kumkaba shingo na kumwacha kitandani akiwa amelama bila kuamka hadi sasa mama anasema amekufa"
Akielezea juu ya mkasa huo uliosababisha mauwaji ya mtoto Raymond mama mzazi wa mtoto huyo Bi Kudra Kahemela (23) alisema kuwa kwa upande wake baada ya kutishiwa kuuwawa kwa kipigo alifanikiwa kukimbia katika chumba hicho na kwenda kujificha nje na baada ya muda mwanaume huyo alianza kutapika na pale alipoingia kutana kumsaidia ndipo alipopigwa na kuamua kukimbia kwenda kulala nje ya nyumba hiyo kwa kujiegesha katika nguzo ya umeme iliyopo nyumba ya pili karibu na nyumba ya shekhe wa mkoa Juma Alli Tagalile
Alisema kuwa asubuhi aliingia katika chumba hicho baada ya mwanaume huyo kutoka kwenda katika kilabu cha pombe za kienyeji cha Tulivu kuendelea kunywa pombe na kumkuta mtoto huyo akiwa amelala bila kutikisika .
" Mimi nilijua kama mtoto amelala tu ama amezimia ila baada ya kuwaita watu wazima akiwemo mama yangu mzazi ndipo nilipobaini kuwa mtoto wangu Ray amefariki dunia na ndipo nilipomfuata na kumweleza juu ya tukio hilo ila bado aliendelea kunywa pombe na kudai kuwa mtoto huyo amezimia kwa kelele za usiku ."
Alisema baada ya hapo mwanaume huyo alikimbia hadi Ilala kwa wakwe zake na kuomba msamaha na kusuluhishwa ugomvi wao ila wakati mtengo wa kukamatwa ukiwekwa ndipo alipokimbia kusiko julikana.
Mwandishi wa habari hizi alishuhudia mtoto huyo akiwa amekufa katika kitanda cha wazazi wake huku chini ya chumba hicho thamani mbali mbali pamoja na vyombo vikiwa vimevunjika kutokana na ugomvi huo .
Mwenyekiti wa serikali ya mtaa huo wa Pangani kata ya Makorongini Bw Salum Kibaya amethibitisha juu ya kifo cha mtoto huyo na kuwa baada ya tukio hilo ambalo lilitokea usiku wa kuamkia leo jumamosi Desemba 14 mwaka huu alilazimika kwenda kituo cha polisi cha stendi kuu ya mabasi yaendeyo mikoani na kuwajulisha juu ya tukio hilo na kufika eneo la tukio .
Bw Kibaya alithibitisha pia kuwa ugomvi kati ya wapenzi hao si wa kwanza kutokea japo kwa maelezo ya mwanamke huyo alikuwa mbioni kuolewa na mwanaume huyo na hivyo kuwa na wanaume wawili akiwemo mzazi mwenzake ambae kwa sasa anaishi eneo la Don Bosco mjini hapa.
Mwili wa mtoto huyo umehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Iringa huku jeshi la polisi likiwahoji mama wa mtoto huyo ,kama wa mtuhumiwa wa mauwaji hayo ambae ni mkazi wa Mlandizi Kibaha Jijini Dar es Salaam na mama mzazi wa mtoto aliyepoteza maisha.

MAMA SHARO BILIONEA AMLIZA RICH MAVOKO

STORI kuhusu maisha ya mama mzazi wa staa wa komedi Bongo, marehemu Husein Mkiety ‘Sharo Milionea’, baada ya kifo cha mwanaye huyo imemliza Rich Mavoko ambaye alikwenda kumtembelea nyumbani kwake kijijini Lusanga, Muheza mkoani Tanga.

Rich Mavoko akifuta machozi alipomtembelea Mama Sharo Milionea.

Akiteta machache na Risasi Vibes, Mavoko alisema, yeye kama msanii aliguswa kwenda kumsalimia mama Sharo kwa kuwa wote ni wasanii na aliona mama huyo anahitaji faraja kutoka kwa watu waliokuwa karibu na mwanaye.

“Mama alifurahi sana kuniona. Tulizungumza mengi lakini niliguswa sana na matatizo aliyonayo mama yetu. Mama anasema, mali nyingi za marehemu mwanaye, amekuwa akizisikia tu lakini hajapewa.

Mavoko na Mama Sharo wakiwa katika kaburi la Marehemu Sharo Milionea.

“Kiukweli mama Sharo anatia huruma sana kwani faraja imepotea, mali za mwanaye hazioni, amebaki akitia huruma.
Unajua marehemu alikuwa akimsadia sana mama yake, ndiyo lilikuwa tegemeo lake kubwa. Ameondoka na kumuacha akiwa hana la kufanya, mbaya zaidi hata mali zake ambazo zingepaswa kumsaidia kipindi hiki, wajanja wamezidhulumu.

“Dunia haina usawa kabisa. Kiukweli inatia huruma sana. Nawasihi wasanii wenzangu na wadau wa sanaa, inatakiwa tukumbuke wenzetu waliotangulia tena kwa kuwaenzi kwa kila njia.

Marehemu Sharo Milionea enzi za uhai wake.

Kuna vitu vinauma sana amenieleza tangu kifo cha mwanaye haki zake nyingi hajui zilipo. Tuungane wasanii tuwasaidie wazazi wa wasanii wanaotangulia mbele za haki,” alisema Mavoko.

AU yataka Sudan Kusini kuacha mapigano

Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika, AU, Nkosazana Dlamini-Zuma, ameelezea kusikitishwa na hali ilivyo Sudan Kusini, kufuatia kuzuka kwa mapigano katika mji mkuu wa nchi hiyo, Juba, siku ya Jumapili.

Katika taarifa iliyotolewa Jumatatu na kuchapishwa katika gazeti la Sudan Tribune, mwenyekiti huyo amesema ana wasiwasi hasa na hali ya usalama wa wananchi.
Taarifa zinazohusiana


Mapigano yalizuka katika mji wa Juba, Jumapili jioni kati ya vikundi vyenye silaha katika kambi ya jeshi na mapigano hayo yaliripotiwa kuendelea Jumanne, huku milioni ya bunduki ikisikika katika maeneo yote ya mji wa Juba mbali na kuhakikishiwa na serikali ya Sudan Kusini kuwa imedhibiti hali hiyo.

Dlamini-Zuma ameitaka serikali ya Sudan Kusini na makundi mengine yanayohusika katika mapigano hayo kujizua na aina yoyote ya kuendelea kwa mgogoro huo.

Pia amezitaka pande zinazohusika na mgogoro huo kutafuta suluhisho la amani kutokana na tofauti zao, "kwa kuheshimu utawala wa sheria, haki za binadamu na uhalali wa kikatiba", akisema AU iko tayari kusaidia kutafuta suluhisho la hali ya sasa.

Wito wa AU umekuja wakati Marekani ikizitaka pande zinazohusika katika mgogoro wa Sudan Kusini kujizuia na ghasia na kutafuta suluhisho la amani.

Mjumbe maalum wa Marekani Donald Booth alitumia mawasiliano ya Twitter siku ya Jumatatu akitaka kuwepo kwa hali ya utulivu, akisema migogoro ya kisiasa lazima imalizike kwa njia ya mazungumzo na sio vurugu.

Rais Salva Kiir amemshutumu naibu wake wa zamani, Riek Machar, kwa kuchochea jaribio la kutaka kuiangusha serikali yake.

Mawaziri kadha wa zamani wamekamatwa, wakihusishwa na jaribio hilo, ambapo mawaziri wengine hawajulikani walipo.

Bwana Kiir ametangaza amri ya kutotembea ovyo usiku katika mji wa Juba, ambapo maeneo mengi yenye pilikapilika za kibiashara, yamekimbiwa kwa kiasi kikubwa.

Hata hivyo, mazingira ya jaribio hilo hayako bayana, huku kukiwa na taarifa zinazokinzana na kauli rasmi ya serikali kuhusu tukio hilo, zikidai kuwa msuguano wa uongozi katika chama tawala, SPLM katika wiki za karibuni ulisambaa hadi katika jeshi, SPLA, na kuchochea mapigano kati ya wafuasi wa Bwana Kiir na Machar.

Jumatatu, walinzi wa rais waliizingira nyumba ya Bwana Machar katika eneo la Amarat, na kuharibu sehemu kubwa ya nyumba hiyo. Hakuwa nyumbani wakati huo na mpaka sasa hajulikani alipo.

Maafisa wa afya wanasema watu wapatao 26 wamethibitika kufariki dunia katika hospitali ya Juba, wakati zaidi ya watu 113 wametibiwa kutokana na majeraha ya risasi.

Chelsea yachapwa na Sunderland

Sunderland imesonga mbele hatua ya nusu fainali ya michuano ya ya Kombe la Capital One baada ya kuichapa Chelsea mabao 2-1.

Chelsea ilimiliki mchezo huo kwa muda mrefu katika dakika zote 90, huku Chelsea ikipata goli kutokana na mchezaji wa Sunderland, Lee Cattermole kujifunga mwenyewe.
Taarifa zinazohusiana

Michezo

Chelsea walionekana kufuzu kucheza hatua ya nusu fainali hadi dakika za mwisho za mchezo, lakini ndoto hiyo ilizimwa na Fabio Borini aliyesawazisha goli dakika ya 88 na kulazimisha mchezo huo kuingia muda wa ziada.

Sunderland ilipigana na kufanikiwa kupata bao la ushindi katika dakika ya 118 likifungwa na Ki Sung-Yueng.

Muda wa ziada ulizidi kumkoroga kocha wa Chelsea Jose Mourinho, ambaye tayari amekuwa akilalamikia ratiba ya michezo kuibana timu yake, akionyesha kuwa Arsenal ina siku zaidi za kupumzika kulinganisha na wao katika kujiandaa kwa mchezo watakaopambana na Arsenal katika mechi za Ligi Kuu ya England, Jumatatu.

Matokeo mengine ni Manchester City kuichapa Leicester mabao 3-1. Magoli ya ManCity yamefungwa na Kolarov dakika ya 8 na Dzeko akifunga katika dakika za 41 na 53. Bao la kufutia machozi kwa Leicester limetumbukizwa kimiani na Dyer katika dakika ya 77.

MR NICE APATA SHAVU NCHINI DENMARK


Mwanamuziki aliyevuma sana kipindi cha nyuma Mr. Nice amealikwa kufanya filamu mpya na kampuni ya VAD production iliyopo nchini Denmark inayomilikiwa na mtanzania anayeishi nchini humo Mr. Babingwa

Katika mwaliko huo Mr. Mr nice alipata nafasi ya kufanya mahojiano na mtangazaji wa Swahili talk radio ya nchini humo

WEMA JEURI KWISHA TENA

NI kweli hakuna marefu yasiyokuwa na ncha? Kama ni kweli, basi ile jeuri ya fedha ya Miss Tanzania mwaka 2006 ambaye pia hufanya
vyema kwenye gemu la sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu inadaiwa imefikia nchani, Risasi Mchanganyiko limepashwa ‘ei tu zedi’.

Kwa mujibu wa chanzo makini, hali ya kifedha ya staa huyo si nzuri kiasi kwamba kwa sasa amekuwa mtu wa kushinda ndani kwa kuwa hana mpunga unaomuwezesha kwenda kujirusha kama zamani.
SABABU NI NINI HASA?
Chanzo kilidai kwamba, binadamu aliyekuwa akimmwagia manoti staa huyo aliyetajwa kwa jina moja la Clement ambaye ni mwajiriwa wa Ikulu jijini Dar, yu hoi kwa kipato baada ya kunyofolewa kwenye kitengo kilichokuwa na uwezeshaji mwingi wa fedha.

Inadaiwa kuwa, baada ya Clement ambaye ni mume wa mtu, kuondolewa kwenye kitengo hicho amepelekwa sehemu nyingine ambayo mchana kutwa ni kupiga miayo mpaka muda wa kutoka kazini.
MKONO WA MKEWE WATAJWA
Katika madai hayo, inasemekana mke wa Clement (jina tunalo) ana mkono wa kile kilichompata mumewe, kuondolewa kwenye kitengo chenye ulaji na pia amekuwa akiwawinda wawili hao ili awafanyie fumanizi kwa sababu Clement ni mumewe wa ndoa.

KILICHOTOKEA SASA
Chanzo kikaendelea: “Baada ya kuondolewa kwenye sehemu yenye fedha na kutupwa kwenye ukame, jamaa akaanza kupata tabu kwani fedha alizokuwa akimpa Wema zamani zikawa hazipo.
“Hilo likamwathiri na Wema mwenyewe kwani ile jeuri mliyokuwa mnamuona nayo akiifanya kwa rungu la fedha, mara sherehe, mara kumlipia Kajala (Masanja) makahamani (Kisutu), mara kwenda baa na wapambe imekatika ghafla.
“Siku hizi Wema ndani na yeye, yeye na ndani. Naamini hata mkienda kwake muda huu (juzi Jumatatu saa 5 asubuhi) mtamkuta.”
INADAIWA AMEUZA MAGARI MAWILI
Habari zaidi kutoka chanzo hicho, hali ilipozidi kubana sana, Wema aliamua kuuza magari mawili kati ya matatu anayomiliki ili apate fedha za kuendelea kujikimu katika maisha ya kila siku.
Magari hayo mawili yanasemekana ni Toyota Mark II GX 110 na Toyota Harrier na kubakiwa na Audi Q7.
YALIYOMPATA CLEMENT
Habari zinazidi kudai kwamba hali ikazidi kuwa mbaya kwa Clement kiasi kwamba alijikuta akikabwa koo na benki moja ya jijini Dar es Salaam ambayo aliiomba mkopo wa Shilingi mil. 120 akitumia hati ya nyumba ambayo pia si yake.
Benki hiyo ilipozidi kumbana, mkewe (sasa wametengana) ambaye naye anadaiwa kuwa ‘mzuri’ kwenye fedha alikwenda kulipa fedha hizo benki ili nyumba ya watu isinadiwe na benki hiyo iliyokuwa haitaki mambo ya utani kwenye marejesho.
Madai mengine ambayo hayajathibitishwa yanasema kuwa, mtikisiko huo wa kifedha kwa Clement umesababisha awe ‘choka mbaya’ kiasi cha sasa kuanza kupiga mizinga kwa rafiki zake.
WEMA ASAKWA ASEME UKWELI WAKE
Baada ya kupokea ishu hiyo, Risasi Mchanganyiko liliamua kumsaka Wema ili aseme lolote kuhusiana na tuhuma hizo.
Saa 4:32 Wema alipigiwa simu yake ya mkononi ambayo iliita kwa muda mrefu bila kupokelewa hata pale iliporudiwa tena na tena.
Baada ya jitihada hizo kugonga mwamba, gazeti hili liliamua kumwendea hewani meneja wake Martin Kadinda ambaye naye hakupokea simu licha ya kupigiwa zaidi ya mara tatu.
Risasi Mchanganyiko halikukata tamaa, kwani ni haki ya msingi kwa Wema kuongelea suala hilo. Likampigia msaidizi wake wa karibu anayeitwa Pat Man, yeye alipokea, akaulizwa kuhusu bosi wake huyo, akasema:
“Wema anaumwa (hakutaja ugonjwa), ametoka hospitali sasa hivi (hakusema hospitali gani) yuko nyumbani.”
Mapaparazi wetu wakafunga safari kutoka Bamaga – Mwenge, Dar yalipo Makao Makuu ya Nyumba ya Magazeti Pendwa Bongo, Global Publishers hadi nyumbani kwa Wema - Makumbusho (lakini ni Kijitonyama).
Getini alikutwa mlinzi mahiri kwa mwonekano ambapo alipoombwa kumwita Wema au kumwambia kuna waandishi wa Global wapo nje, alisema:
“Mh! Kwa kweli si rahisi kutoka, amelala anaumwa... alikwenda hospitali amerudi muda si mrefu.”
Alipochombezwa kwa maneno ya ‘kisiasa’ kwamba awaambie wasaidizi wake wa ndani wakamwamshe, alikataa akisema litazuka timbwili ambalo yeye hakuwa tayari kuliona.
“Bosi akilala huwa hapendi kuamshwa, hasa kama hayuko sawa. Watu wanaomwamsha ni wale wenye ahadi naye,” alisema mlinzi huyo.
WEMA ATUMIWA MESEJI
Baada ya kuondoka nyumbani kwa Wema, Risasi Mchanganyiko lilimtumia ujumbe mfupi (SMS) ‘mreeefu’ wenye madai yote na ikaonesha ‘delivered’ kwenye simu ya Wema, lakini pia haikujibiwa.
TUNARUDI KWA CLEMENT
Simu yake haikuwa ikipatikana hewani alipopigiwa ili na yeye apewe nafasi ya kusema lolote kuhusu sakata hilo.
MKE WA CLEMENT AVUNJA UKIMYA
Risasi Mchanganyiko liliamua kumsaka kwa simu ya mkononi mke wa Clement ambapo alipopokea na kusomewa mashitaka ya mumewe na nafasi yake kama shahidi muhimu alikiri hali ya jamaa kuwa tete kimfuko.
“Kuhusu hilo la nyumba ni kweli ilikuwa inadaiwa na benki (aliitaja jina) na walitaka kuinadi ili wapate fedha zao, lakini nikaingilia kati ili kulinda heshima ya familia.
“Unajua ile nyumba kuna mtu alituuzia, kwa hiyo Clement alitoa kiasi cha fedha lakini hakumalizia na akatumia hati ya nyumba kwenda kuombea huo mkopo. Kwa sababu benki walikuja juu nilitafuta mtu akainunua, kiasi cha fedha nikammalizia aliyetuuzia na kulipa benki,” alisema mwanamke huyo.
KUHUSU KUMFANYIA FITINA MUME AKAHAMISHWA KITENGO
Huyu hapa mke wa Clement: “Hilo si kweli bwana. Kwanza mimi ndiyo nilimfikisha pale alipofika. Sasa mtu nimuinue mwenyewe nitamfanyiaje fitina?
“Kwanza mimi siko naye siku hizi. Nilipoona anachukua magari ya nyumbani na kuyapeleka huko kwa nani sijui (Wema) nikaamua kukaa pembeni na kunyamaza kimya.
“Kama ni mabalaa anayapata hukohuko aliko, nisisingiziwe mimi kwa lolote lile.”
KUHUSU KUMWANDALIA FUMANIZI WEMA
“Aaa wapi! Nimwandalie fumanizi la nini? Yeye ana maisha yake mengine mimi niko na mambo yangu, muda huo sina kabisa, yaani niko bize sana,” alisema mwanamke huyo huku akidai muda huo alikuwa akidraivu.
PRODYUZA WA WEMA ALIJUA HILI?
Wiki mbili zilizopita, gazeti damu moja na hili, Ijumaa Wikienda liliandika katika ukurasa wake wa mbele habari yenye kichwa; MAGARI YA WEMA YAGEUZWA GESTI.
Katika habari hiyo, Wema alidaiwa kumtimua kazi prodyuza wake katika Kampuni ya Endless Fame, Rashid Mohammed ‘Chid Classic’ kwa sababu ya kumtuhumu kufanya ufuska kwenye magari yake maeneo ya Ufukwe wa Coco, Dar.
Siku chache mbele, prodyuza huyo alifunguka katika gazeti lingine pendwa ndani ya mjengo, Amani kuwa, Wema ‘amechoka’ siku hizi, halipi mishahara wafanyakazi wake na alitaka yeye awe kuwadi ndiyo wangeendana jambo ambalo yeye hakuwa tayari.

Baadhi ya habari zilizowahi kuandikwa na magazeti ya GPL kuhusu jeuri ya fedha ya Wema.
HABARI NYINGINE YA MJINI
Yapo madai kuwa, kutokana na maswahibu hayo ya kuwa kwenye wakati mgumu kifedha, kampuni yake imeanza kudoda na mbaya zaidi, marafiki zake anaokuwa nao kwenye raha, wamemkacha na kumwacha akihangaika mwenyewe.
“Msiniandike gazetini lakini ukweli ni kuwa, huu ndiyo wakati wake wa kujifunza kuchagua marafiki. Ona sasa, wale wote aliokuwa akila nao raha, wamekaa pembeni. Ni tatizo sawa, lakini pia ni funzo kwa upande mwingine,” alisema mpambe mmoja anayefanya naye kazi kwa karibu sana.

Wednesday 18 December 2013

16 bora zitakazokutana Uefa

Rais wa UEFA Michel Platini

Droo ya timu zitakazokutana katika hatua ya 16 bora ligi ya mabingwa ulaya imefanyika ambapo Manchester City imepangwa kumenyana na Barcelona huku Arsenal wakipangwa kukutana na Bayern Munich.

Kwa upande wake Chelsea wataumana na Galatasaray huku Manchester United wakikutana na Olympiakos ya Ugiriki.

Droo hiyo pia imezikutanisha AC Milan na Atletico Madrid huku Bayern Leverkusen ikipangwa kukutana na Paris St- Germain ya Ufaransa. Schalke itakutana na Real Madrid na Zenit Petersburg wakiorodheshwa kumenyana na Borussia Dortmund.
Droo kamili hii hapa nchini

Manchester City v Barcelona
Olympiakos v Manchester United
AC Milan v Atletico Madrid
Bayer Leverkusen v Paris St-Germain
Galatasaray v Chelsea
Schalke v Real Madrid
Zenit St Petersburg v Dortmund
Arsenal v Bayern Munich
Mechi hizo zitachezwa kama ifuatavyo:

Tarehe 18/19/25/26 February (mzunguko wa kwanza )
Tarehe 11/12/18/19 March (mzunguko wa pili)
Robo Fainali : 1/2 April and 8/9 April
Nusu Fainali: 22/23 April and 29/30 April
Fainali: 24 May

Wanajeshi 66 wauawa Sudan Kusini

Afisaa mkuu msimamizi wa hospitali ya kijeshi ya Juba, Brigedia Gen Dr Ajak Bullen,ameambia shirika la redio la Miraya mjini Juba kuwa wanajeshi 66 wameuawa katika mapigano ya siku mbili.

Watafanyiwa mazishi ya pamoja.
Taarifa zinazohusiana

Sudan Kusini

Wakati huohuo afisaa mmoja wa serikali amesema kuwa raia 26 wameuawa katika mapigano ya siku mbili mjini Juba.

Zaidi ya watu miamoja wamejeruhiwa huku maafisa wakuu wakijaribu kudhibiti mji huo kufuatia kile ambacho serikali ilisema ni jaribio la mapinduzi mbalo liliweza kutibuliwa.

Waziri wa mambo ya nje wa Sudan Kusini Barnaba Marial Benjamin amesema kuwa vikosi vya usalama vinawasaka wanajeshi watiifu kwa Riek Machar aliyekuwa makamu wa Rais wa Salva Kiir anayedaiwa kupanga njama hiyo ya mapinduzi.

Taarifa zinasema kuwa milio ya risasi ingali inasikika mjini Juba huku wanasiasa kumi wakikamatwa kuhusiana na njama hiyo ya mapinduzi.

Monday 16 December 2013

ANDY COLE ATABIRI MAKUBWA TANZANIA

Straike wa zamani wa Manchester United,Andy Cole
STRAIKA wa zamani wa Manchester United,Andy Cole amesema Tanzania ina vipaji vingi vya soka lakini kinachowakwamisha kucheza soka la kulipwa Ulaya ni miundombinu ya kuwatoa katika hatua moja kwenda nyingine.

Cole aliiambia Mwanaspoti kuwa,Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizojaliwa kuwa na vijana wenye vipaji vya hali ya juu lakini wanakumbana na changamoto ya mahala wanapoweza kuonyesha vipaji vyao.

Alisema vijana wengi hapa nchini wana uwezo mzuri wa soka ambao unawawezesha kucheza popote duniani isipokuwa hawapati nafasi ya kuonyesha vipaji walivyonavyo na hata wakipata muda unakuwa umekwisha.

“Ninavyojua Tanzania ina vijana wengi wenye vipaji vya kucheza soka la kulipwa popote duniani ikiwemo Ulaya, nadhani tatizo ni mahali ambapo wanaweza kuonyesha vipaji vyao ili wengine wawachukue,” alisema Cole ambaye alitwaa taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya akiwa Man United mwaka 1999.

Alisema vijana wanatakiwa kujiingiza katika soka la kulipwa wakiwa na umri mdogo kwani hapo wanaweza kupata muda wa kujifunza zaidi kuhusu soka la kisasa.

“Naona mwanga kwamba ipo siku Tanzania itatoa wachezaji wa kulipwa watakaocheza soka la kulipwa England au Ulaya,” alisema Cole ambaye aliwahi pia kuichezea timu za Arsenal, Newcastle na Manchester City.

Cole alikuwepo nchini katika kampeni maalum ya Mimi ni bingwa yenye lengo la kuhamasisha soka Tanzania.

Hii ni mara ya pili kwa Cole kutua nchini baada ya kufanya hivyo mwaka jana alipokuja katika michuano ya kuibua vipaji vya vijana ya Airtel Rising Star.

Wachezaji kadhaa wa Tanzania wakiwemo Henry Joseph wa Simba,Nizar Khalfan na Mrisho Ngassa wa Yanga wamewahi kupata nafasi ya kucheza nje ya nchi lakini hawakuweza kucheza katika ligi kubwa kama ya England hata daraja la tatu.

Nizar amewahi kucheza soka la kulipwa nchini Canada katika klabu ya Vancouver Whitecaps kabla ya mwaka jana kurejea nchini, wakati Joseph amewahi kucheza Kongvinger ya Norway na mwaka huu akarudi nyumbani.

Ngassa alipata nafasi ya kufanya majaribio katika klabu ya West Ham lakini hakufuzu.

LULU NA YOUNG DEE WAVUNJA AMRI YA SITA


Jana kupitia kwenye kipindi cha U-heard cha clouds FM chini ya bwana Sudi Brown ama Gossip Cop kulikuwa na FUNUNU kali iliyokuwa inamuhusu mwanadada wa bongomovies Elizabeth Bin Michael a.k.a LULU na mwimbaji wa muziki wa kizazi kipya Young D al-maarufu kama Young Dar es salaam kama mwenyewe anavyojiita ya wawili hao kukutwa kwenye gari wakifanya lile tendo linaloruhusiwa kufanywa mara baada ya mdada na mkaka kufunga ndoa.
Kwa mujibu wa Sudi Brown = Gossip cop, wawili hao walikutwa maeneo ya Mbezi beach ndani ya gari aina ya Hyundai ya mwanadada lulu na polisi wa doria wakivunja amri hiyo iliyokatazwa na vitabu vyote vitakatifu kwa maana ya biblia, Quran na vitabu vingine vya dini ulimwenguni.
Habri zainasema Baada ya wawili hao kukutwa eneo hilo na polisi walipelekwa pembeni gizani na kuongeana polisi kabla ya wao kutokomea wasipojulikana na gari hilo.
Alipopigiwa simu mwanadada LULU alipokea na kukata muda mfupi na baadaye Young D alipopigiwa simu alitoa majina ya utata kama alivyoongea mwenyewe kupitia kwenye kipindi cha U-heard cha clouds fm

SIMBA YA ZUBAA KWA OKWI YANGA YA MNYAKUA KAMA MWEWE

USAJILI wa kishindo, Yanga imefanya kufuru kwa kufunga dirisha dogo la usajili kwa kumsajili kiungo mshambuliaji wa zamani wa Simba, Emmanuel Arnold Okwi na ataanza kuichezea klabu hiyo kwenye mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara.
Okwi, ambaye ni mchezaji wa timu ya taifa ya Uganda, The Cranes, amesaini kuichezea Yanga kwa miaka miwili na nusu na Shirikisho la Soka la Uganda (Fufa) limemuidhinisha rasmi kuwa mchezaji wa Jangwani.

Emmanuel Okwi akiweka alama ya dole gumba mbele ya Mjumbe wa Kamati ya Mashindano wa Yanga, Musa Katabaro (kushoto) wakati akisaini mkataba wa kuichezea Yanga miaka miwili na nusu mpaka mwishoni mwa msimu wa 2015/2016. Kulia ni Mwanasheria/Meneja wa Okwi, Edgar Agaba.

Mjumbe wa Kamati ya Usajili ya Yanga, Abdallah Bin Kleb, amelithibitisha hilo kwa Championi Jumatatu na taarifa zinasema Okwi atatua nchini keshokutwa.

“Kweli tumemsainisha Okwi kwa muda huo na kila kitu kiko safi, tumefuata taratibu zote kupitia mtandao wa Fifa wa uhamisho na tumepata ITC, hivyo Okwi ni mchezaji halali wa Yanga,” alisema Bin Kleb.
Taarifa zinaeleza Yanga imemwaga zaidi ya Sh milioni 180 ili kumpata Okwi ambaye anajulikana kwa kasi, krosi safi na uwezo wa kufunga mabao katika wakati mgumu.

Awali, Simba ‘ilimuuza’ Etoile du Sahel (ESS) kwa kitita cha dola 300,000 (Sh milioni 480) lakini malipo yamekuwa hadithi na uongozi umekuwa mkali sana kuhusiana na hilo.

Baadaye akasusa kuichezea ESS kutokana na kutolipwa mshahara wake, baadaye akarejea SC Villa ya kwao Uganda ambako Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) likamuidhinisha acheze kwa mkopo.
Taarifa nyingine zinasema Okwi alisaini rasmi kuichezea Yanga Jumatano iliyopita na kila kitu kilifanyika jijini Kampala baada ya ‘jeshi’ la usajili la Yanga kuvamia mjini humo na kumaliza zoezi hilo.

Kila kitu kikafanywa siri kubwa kwa kuwa Yanga ilitaka kupata uhakika kwa kupokea ITC ambayo imepatikana jana ikiwa ni siku ya mwisho ya dirisha dogo la usajili.
Okwi alikuwa ‘roho’ ya ushambuliaji Simba, kipenzi cha mashabiki Msimbazi na tishio kwa Jangwani, lakini sasa huenda mambo hayo yakageukia upande wa pili.

Sunday 15 December 2013

ABAKWA, ANYONGWA HADI KUFA NA KISHA KUINGIZWA CHUPA SEHEMU ZA SIRI HUKO CHALINZE

JAMANI jamani! Dunia imefika pabaya zaidi, Mungu asaidie. Mwanamke mkazi wa Chalinze, Mkoa wa Pwani, Moshi Rashid (43) amefanyiwa unyama uliopitiliza na watu wasiojulikana baada ya kumbaka na kumnyonga, inauma sana kwa kweli!
Mwanamke mkazi wa Chalinze, Mkoa wa Pwani, Moshi Rashid (43) amefanyiwa unyama uliopitiliza na watu wasiojulikana baada ya kumbaka na kumnyonga.
Tukio hilo la kutisha lilijiri usiku wa Desemba 7, mwaka huu Chalinze Kwamwarabu ambapo mwanamke huyo alikwenda kujumuika na ndugu na majirani katika mkesha wa ngoma ya kuwatoa wari siku ya Jumapili.
Eneo la tukio Chalinze Kwamwarabu.
Mkasa huu unasimuliwa kwa majonzi mazito na mdogo wa marehemu ambaye alikuwa mshehereshaji wa shughuli hiyo ‘MC’, Siwema Rashid.
Alisema: “Mpaka sasa tunashindwa kuelewa kilichotokea maana siku ya tukio tulikuwa naye kwenye ngoma usiku. Alikuwa mchangamfu sana, aliifanya shughuli ipendeze.
“Ilipofika saa nane usiku baadhi ya watu walianza kulala, sasa sijui yeye ilikuwaje mpaka hali hiyo ikamfika maana hao watu walichomfanyia wametuachia historia kubwa sana.
“Walimbaka wakaona haitoshi wakamwingiza chupa ya soda sehemu ya siri ya mbele halafu wakamwingiza chupa ya bia sehemu ya siri ya nyuma.
“Ili kuzidi kutimiza unyama wao, waliondoka na kumwacha kama alivyozaliwa, inauma sana halafu matukio ya hivyo yamekithiri sana.”
Aliongeza: “Marehemu ametuachia jukumu la malezi kwa watoto wake wawili, Sikudhani Juma (18) na Ally Juma (12).”
Naye mtoto mkubwa wa marehemu, Sikudhani akisimulia kifo cha mama yake, alisema: “Nasikitika sikuweza kuuona mwili wa mama hata pale watu walipojazana na kumshangaa.
“Hata polisi na mganga mkuu wa mkoa walipofika kumchomoa zile chupa sikutaka kusogea kabisa, naamini Mungu atawaonesha jambo hao watu hapahapa duniani.”
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Yurichi Mtei akizungumzia ukatili huo alisema: “Taarifa za tukio hilo bado hazijafika kwangu kutokana na majukumu mengine ya kikazi, isipokuwa nalifanyia kazi kuhakikisha watuhumiwa wanakamatwa.”
Tukio hilo lilifunguliwa jalada kwenye Kituo cha Polisi Chalinze kwa nambaCH/RB/3767/2013 MAUAJI.
Mpaka kifo chake, mwanamke huyo alikuwa akiishi na mwanaume mmoja (jina halikupatikana mara moja lakini si aliyezaa naye watoto hao wawili). Alizikwa Jumapili iliyofuata, Chalinze.
Mungu ailaze pema peponi roho yake. Amina


Read more: http://bongogossip.blogspot.com/2013/12/abakwa-anyongwa-hadi-kufa-na-kisha.html#ixzz3WsxvL0cZ

UGOMVI WA KIMAPNZ WASABABISHA MUME KUUA MTOTO WA KAMBO HUKO IRINGA

Mwenyekiti wa mtaa wa pangani kata ya Makorongoni mjini Iringa Salum Kibaya akiutazama mwili wa mtoto Raymond Ben Mangungu (2) aliyeuwawa kwa kukabwa shingo na baba wa kambo wakati wa ugomvi wa kimapnzi kati ya mwanaume huyo na mama wa mtoto huyo usiku wa leo.
Askari polisi akitazama mwili wa mtoto huyo.
Hali ilivyokutwa ndani ya chumba hicho baada ya tukio.
Wananchi wa Makorongini wakimtazama mwanamke huyo wakati akihojiwa na kaka wa mtuhumiwa wa mauwaji hayo.
Mama wa mtoto Raymond katikati akimsimulia shemeji yake jinsi ambavyo mpnzi wake alivyoua mtoto ,kushoto ni mama mzazi wa mwanamke huyo.Huyu ndie mzazi wa mtoto aliyeuwawa Bi Kudra Kahemela (23)Wanawake wa mtaa wa Pangani Iringa wakiuhifadhi mwili wa mtoto Raymond leo.
KATIKA hali isiyo ya kawaida mwanaume mmoja mkazi wa mtaa wa Pangani kata ya Makorongoni katika Manispaa ya Iringa Hamis Said maarufu kwa jina la Mwarabu amemuua kinyama mtoto Raymond Ben Mangungu (2) kutoka na ugomvi wa kimapnzi kati yake na mama wa mtoto huyo ambae kwake ni mpnzi wake .
Imedaiwa kuwa mtuhumiwa huyo wa mauwaji ya mtoto huyo alikuwa amelewa pombe kupita kiasi na si mara ya kwanza kulewa kiasi hicho na kutishia kufanya mauwaji dhidi ya mtoto huyo wa kambo kwa kile alichokuwa akidai kuwa ni fedhea kwake kuishi na mwanamke ambae ana watoto wawili ambao si damu yake.
Wakizungumzia juu ya tukio hilo mashuhuda wa tukio hilo kwa sharti la kutotaja majina yao walisema kuwa imekuwa ni kawaida kwa Mwarabu kumpiga mwanamke huyo na familia yake kwa madai kuwa hataki kuwaona watoto hao wakiendelea kuishi katika nyumba hiyo ambayo ameipanga yeye .
" Huyu bwana Mwarabu alikuwa akifanya kazi ya kuuza korosho mitaani na akirudi usiku amekuwa mkali kwa mwanamke huyo ambae alikuwa akidai kuwa bado amekuwa na mahusiano na baba wa watoto hao wawili .....hata hivyo sisi kama majirani tumekuwa tukishindwa kuwaamua kutokana na mwanaume kuwa na tabia ya kulewa pombe kupita kiasi na hata tukio hili tulijua ni kawaida yao "
Mtoto Tinito Mangungu (6) ambae ni kaka na marehemu alisema kuwa baba yao huyo mdogo alifika usiku na kuwataka wote kuamka kitandani na kuwa hakuna mtu atakayelala katika chumba hicho kama si damu yake.
"Baba mdogo (Mwarabu) alirudi usiku akiwa amelewa na kusema hakuna mtu kulala kitandani na kuanza kumpiga mama kwa meza na viti huku sisi tukilia kumtaka asimpige mama yetu....baada ya hapo alimchukua mdogo wangu na kuanza kumkaba shingo na kumwacha kitandani akiwa amelama bila kuamka hadi sasa mama anasema amekufa"
Akielezea juu ya mkasa huo uliosababisha mauwaji ya mtoto Raymond mama mzazi wa mtoto huyo Bi Kudra Kahemela (23) alisema kuwa kwa upande wake baada ya kutishiwa kuuwawa kwa kipigo alifanikiwa kukimbia katika chumba hicho na kwenda kujificha nje na baada ya muda mwanaume huyo alianza kutapika na pale alipoingia kutana kumsaidia ndipo alipopigwa na kuamua kukimbia kwenda kulala nje ya nyumba hiyo kwa kujiegesha katika nguzo ya umeme iliyopo nyumba ya pili karibu na nyumba ya shekhe wa mkoa Juma Alli Tagalile
Alisema kuwa asubuhi aliingia katika chumba hicho baada ya mwanaume huyo kutoka kwenda katika kilabu cha pombe za kienyeji cha Tulivu kuendelea kunywa pombe na kumkuta mtoto huyo akiwa amelala bila kutikisika .
" Mimi nilijua kama mtoto amelala tu ama amezimia ila baada ya kuwaita watu wazima akiwemo mama yangu mzazi ndipo nilipobaini kuwa mtoto wangu Ray amefariki dunia na ndipo nilipomfuata na kumweleza juu ya tukio hilo ila bado aliendelea kunywa pombe na kudai kuwa mtoto huyo amezimia kwa kelele za usiku ."
Alisema baada ya hapo mwanaume huyo alikimbia hadi Ilala kwa wakwe zake na kuomba msamaha na kusuluhishwa ugomvi wao ila wakati mtengo wa kukamatwa ukiwekwa ndipo alipokimbia kusiko julikana.
Mwandishi wa habari hizi alishuhudia mtoto huyo akiwa amekufa katika kitanda cha wazazi wake huku chini ya chumba hicho thamani mbali mbali pamoja na vyombo vikiwa vimevunjika kutokana na ugomvi huo .
Mwenyekiti wa serikali ya mtaa huo wa Pangani kata ya Makorongini Bw Salum Kibaya amethibitisha juu ya kifo cha mtoto huyo na kuwa baada ya tukio hilo ambalo lilitokea usiku wa kuamkia leo jumamosi Desemba 14 mwaka huu alilazimika kwenda kituo cha polisi cha stendi kuu ya mabasi yaendeyo mikoani na kuwajulisha juu ya tukio hilo na kufika eneo la tukio .
Bw Kibaya alithibitisha pia kuwa ugomvi kati ya wapenzi hao si wa kwanza kutokea japo kwa maelezo ya mwanamke huyo alikuwa mbioni kuolewa na mwanaume huyo na hivyo kuwa na wanaume wawili akiwemo mzazi mwenzake ambae kwa sasa anaishi eneo la Don Bosco mjini hapa.
Mwili wa mtoto huyo umehifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Iringa huku jeshi la polisi likiwahoji mama wa mtoto huyo ,kama wa mtuhumiwa wa mauwaji hayo ambae ni mkazi wa Mlandizi Kibaha Jijini Dar es Salaam na mama mzazi wa mtoto aliyepoteza maisha.

MBUZI AZALIWA AKIWA NA SURA YA MTU HUKO KENYA

Wakazi wa eneo la Likoni, Mombasa nchini Kenya walipatwa na mshangao mkubwa mara baada ya mbuzi mmoja kujifungua mtoto mwenye sura inayofanana na binadamu.

Tukio hilo lilifanya shughuli mbalimbali kwenye kijiji hicho kusimama huku wakazi wa eneo hilo wakiwa wanastaajabu juu ya tukio hilo la ajabu.

Friday 13 December 2013

KENYA BINGWA WA CECAFA 2013/2014 TANZANIA YA LALIA PUA YAIBUKA MSHINDI WA 4

Timu ya taifa ya Kenya, Harambee Stars, imekamilisha furaha ya Wakenya katika kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa taifa hilo baada ya kuicharaza timu ya Sudan mabao 2-0 katika mchezo wa fainali za mashindano ya nchi za Afrika mashariki na Kati Cecafa.
Mechi hiyo iliyofanyika siku ya kilele cha sherehe za uhuru wa Kenya, tarehe 12 Desemba 2013, Harambee Stars walitumia vizuri sherehe hizo huku wakishangiliwa na mashabiki wao waliofurika katika uwanja wa Nyayo kuinyoa Sudan katika mchezo huo.
Nahodha wa Harambee Stars, Wanga ndiye aliyekuwa muuaji wa timu ya Sudan baada ya kufunga mabao yote mawili.
Katika mchezo wa awali ambao ulizikutanisha Tanzania na Zambia kumsaka mshindi wa tatu, Zambia iliibuka mshindi baada ya kuwalaza Kilimanjaro Stars jumla ya mabao 6-5 baada ya timu hizo kutoka sare ya goli 1-1 hadi dakika tisini za mchezo, ndipo mikwaju ya penalti ikaamuliwa kupigwa na Zambia kuibuka washindi.
Hii ni mara ya kwanza kwa Harambee Stars katika kipindi cha miaka kumi na moja kutwaa kombe la Cecafa.
Mchezo wa fainali kati ya Kenya na Sudan ulichelewa kuanza kutokana na kubadilishwa muda kutoka saa 11 hadi saa 12 jioni.
Kuna taarifa kwamba kuchelewa kuanza kwa mchezo huo huenda kumesababishwa na timu ya Sudan kuzuiliwa hotelini walimokuwa wakikaa baada ya mamlaka zinazohusika kudaiwa kushindwa kulipia pango la timu hiyo.

Mjomba wa kiongozi wa Korea anyongwa

Shirika la habari la Korea Kaskazini, KCNA, limetangaza kuwa Jang Song-thaek, mtu mwenye nguvu kisiasa nchini humo na ambaye ni mjomba wa kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un, amenyongwa.
Shirika hilo limesema Jang alituhumiwa kutumia vibaya madaraka, kupinga vitendo vya kiwana mapinduzi na kukengeuka kitabia.
Bwana Jang alihukumiwa na mahakama maalum ya kijeshi na kunyongwa papo hapo kama msaliti. Mapema wiki hii, picha za televisheni zilimwoonyesha Jang Song Thaek akiondolewa na walinzi wenye kuvalia sare kutoka katika mkutano wa Chama tawala cha Kikomunisti.
Wachambuzi wa mambo wanaona kunyongwa kwake kama jaribio la kiongozi wa nchi hiyo Kim Jong-un kujiimarisha kiutawala.
Ni tukio kubwa kutokea tangu Bwana Kim amrithi baba yake, Kim Jong-Il miaka miwili iliyopita.
Shirika la habari la Korea Kaskazini, limesema Jang alikiri makosa katika mahakama ya kijeshi Alhamisi, kutaka kuiangusha serikali, na alinyongwa mara moja.
Bwana Jang, ambaye anafikirika kumjenga mpwa wake, wakati wa kipindi cha mpito wa uongozi kutoka kwa Bwana Kim Jong-il kwenda kwa mtoto wake Kim Jong-un mwaka 2011, "alikuwa mbaya kuliko mbwa" limesema shirika hilo.
Alikiri kutumia vibaya nafasi zake za uwajibikaji ili kuunda kikundi cha upinzani dhidi ya serikali na kulinda maslahi yake ya kisiasa, imesema taarifa ya shirika hilo la KCNA.
Kim Jong-un kiongozi wa Korea Kaskazini
Nchini Marekani, Ikulu ya nchi hiyo, imesema haiwezi kuthibitisha ukweli wa taarifa hizo, "lakini halina sababu za kutilia mashaka taarifa hizo"
"Kama itathibitika kuwa kweli, huu ni mfano mwingine wa ukatili uliopita kiasi, unaoendeshwa na utawala wa Korea Kaskazini. Tunafuatilia kwa karibu zaidi taarifa hizo na kushauriana na nchi washirika na marafiki katika eneo hilo.," imesema taarifa ya Ikulu ya Marekani.
Picha ya Bwana Jang akiwa mahakamani, mikono yake ikiwa imefungwa, imetolewa Ijumaa.
Kabla ya kutoweka kwa neema yake, mara kwa mara alipigwa picha akiwa pembeni mwa kiongozi wa nchi hiyo Kim Jong-un
Rais wa Korea Kusini Park Geun-hye amesema Korea Kaskazini imekuwa ikiendesha "utawala wa hofu"
Bwana Jang Song-thaek aliyemuoa dada wa kiongozi wa zamani wa Korea Kaskazini Kim Jong-il ambaye ni baba wa kiongozi wa sasa Kim Jong-un alijiunga na chama cha Kikomunisti mwaka 1972 na kupanda ngazi za uongozi katika chama hicho na pia akipanda ngazi ya juu kijeshi chini ya kiongozi Kim Jong-un.

3 wakamatwa kwa kupanga mechi Uingereza

Sam Sodje alikuwa mchezaji wa timu ya kitaifa ya Nigeria.
Watu watatu wanazuiliwa na polisi nchini Uingereza baada ya aliyekuwa mchezaji wa Portsmouth kumwambia mwandishi wa habari kuwa alihusika katika kupanga mechi.
Sam Sodje alirekodiwa kwenye kanda ya video na mwandishi wa habari mmoja wa jarida la Sun akizungumzia alivyompiga mchezaji wa timu hasimu usoni katika ligi ya daraja la kwanza, ili apate kadi nyekundu na kisha baadaye alipwe pauni 70,000.
Alisema pia alipangia mchezaji mwingine aweze kulipwa pauni 30,000 kwa kupokea kadi ya manjano katika mechi ya ligi.
Klabu ya Portsmouth imeelezea kushtushwa sana na madai hayo.
Katika Kanda hiyo liyorekodiwa kisiri, bwana Sodje raia wa Nigeria, pia alidai ana uwezo wa kupanga mechi za ligi kuu na kuwa yuko tayari kupanga mechi katika kombe la dunia mwaka ujao.
Katika taarifa kwa vyombo vya habari, msemaji wa klabu hiyo, alisema kuwa ikiwa madai haya ni ya kweli, basi ijulikane kuwa ni ya kushtua na kushangaza sana , jambo la kupanga mechi bila shaka linaathiri pakubwa maadili ya mchezo wa soka.
Sodje hachezei tena klabu ya Portsmouth lakini itambidi ashirikiane na maafisa wakuu kwa uchunguzi.
Sodje aliondolewa uwanjani katika dakika ya 50 wakati wa mchuano kati ya Portsmouth na Oldham Athletic kwenye ligi ya daraja la kwanza tarehe 23 Februari mwaka 2013.

Katumbi na matarajio ya TP Mazembe

Mmiliki na mwenyekiti wa timu ya soka ya TP Mazembe kutoka Jamuhuri ya Demokrasia ya Congo Moise Katumbi amesema ana mpango wa kuiimairisha timu hiyo ili iwe na nguvu ya kushiriki katika mashindano ya kidunia, Katumbi anaamini kuwa anaweza kuifikisha timu hiyo katika ngazi ya fainali za kombe la dunia la FIFA kwa ngazi ya vilabu.
Pamoja na TP Mazembe kushindwa katika michuano ya kombe la shirikisho la CAF lakini bado Katumbi anasema anajiandaa vyema na msimu ujao na mashindano mengine."Malengo yetu ni kuleta ushindani mkubwa na ninaamini tunaweza kufikia mafanikio kwa kile tulichonacho sasa"alisema Katumbi.
Katumbi pia ameiambia BBC kuwa iwapo wataimarisha zaidi timu yao na kwamba haoni ni kwanini siku moja TP Mazembe siku moja wasishinde kombe la dunia.
Mwaka 2010, timu hiyo ya soka ya Mazembe ndio iliyokuwa klabu ya kwanza toka bara la Afrika kutinga fainali katika mashindano ya kombe la dunia la FIFA kwa ngazi ya vilabu lakini wakaondolewa na klabu ya Inter Millan ya Italia.
Baada ya michuano hiyo ya michuano hiyo ya shirikisho timu hiyo toka mji wa Lubumbashi nchini Demokrasia ya Congo wanatarajiwa kurejea tena katika michuano ya ligi ya mabingwa mwaka ujao.
Tambo hizi za Mazembe ni kutokana na vipaji vya kutosha kutoka katika shule ya vipaji vya michezo ambapo wanatarajia baada ya miaka mitatu wantakuwa na wachezaji wenye uwezo wa kuwafikisha na kushinda kombe la dunia.
Hata hivyo Katumbi kiongozi wa miongoni mwa timu tajiri barani Afrika amesema kuwa ameweza kuhakikisha fedha zinapatikana ili kuimarisha kikosi chake,kutengezeza uwanja mpya na wa kisasa ikiwa ni pamoja na ununuzi wa ndege ya timu.
Mipango yake katika kupata wachezaji wa kimataifa inaendelea ambapo kwa sasa anawachezaji nchi za nje ambapo kwa ana wachezaji kutoka nchi za Tanzania, Ghana, Zambia, Cameroon, Botswana na hivi karibuni amesajili kutoka Malawi.
Timu hii ya TP Mazembe ni miongoni mwa timu ambazo wachezaji wake wanalipwa vizuri kwa viwango vya Afrika ikiwa ni jitihada za Katumbi kupunguza kaksi ya vipaji vya Afrika kupotelea ulaya.
"Wachezaji wazuri wa Afrika wanakwenda ulaya kwa sababu ya malipo mazuri kutokana na kutolipwa vizuri hapa Afrika" anasema Katumbi.
Katumbi anasema kuwa sera yao ni kuwachukua wachezaji toka nchi za Afrika ili kuonyesha umoja ndania ya bara hilo na kwamba Afrika ni nnzuri lakini kinachotakiwa ni umoja hasa kutokana na mapigano ambayo yamekuwa yakitokea kila siku katika bara la Afrika.

Kenya yasherehekea miaka 50 ya Uhuru

Kenya inasherehekea miaka 50 ya uhuru walioupata chini ya utawala wa Uingereza.
Mamia ya raia na wageni mbali mbali wamehudhuria katika sherehe hizo zilizofanyika katika mji mkuu wa Nairobi.
Wageni mbali mbali pamoja marais wa mataifa mbali mbali wamehudhuria sherehe hizo akiwemo rais Nigeria Godluck Jonathan wa Nigeria, Jakaya Kikwete wa Tanzania, Joseph Kabila wa DRC, Pierre Nkurunziza wa Burundi, Ali Bongo wa Gabon, Mahinda Rajapaksa wa Sri Lanka.
Usiku wa kuamkia Alhamis bendera ya Kenya ilipandishwa katika eneo hilo hilo siku bendera ya uhuru ilipopandishwa wakati nchi hiyo inapata uhuru katika bustani ya Uhuru Desemba 12, 1963.
Siku hiyo ya uhuru Rais Jomo Kenyatta, baba yake rais wa sasa Uhuru Kenyatta alitawazwa kuwa kiongozi wa nchi hiyo.
KUNA dalili za wazi huenda Baraza la Mawaziri la Rais Jakaya Kikwete kufanyiwa mabadiliko hasa baada ya malalamiko kutoka kwa viongozi wa juu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye na Abdulrahama Kinana, ambao wamefikia hatua ya kutaka baadhi ya mawaziri kuitwa kujieleza katika Kamati Kuu ya Chama chao kuhusu utendaji wao wa kazi.
Kati ya mambo yanayoashiria kuwapo kwa uwezekano wa baraza la mawaziri kufanyiwa mabadiliko ni hatua ya mapema wiki hii, ya Rais Kikwete kumteua Dk. Asha Rose Migiro kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano.
Uteuzi huo ulitangazwa Jumanne wiki hii na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dk. Florens Turuka, katika taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyoeleza kwamba uteuzi huo umeanza rasmi juzi Jumatatu.
Kwa kawaida, wengi wa wabunge ambao Rais Kikwete amekuwa akiwateua kuwa wabunge wameishia kuwa mawaziri na uteuzi huu wa Migiro umeleta hisia hizo.
Tangu achaguliwe kuwa Rais katika awamu yake ya pili ya uongozi, ukiondoa uteuzi huu wa Migiro, Kikwete tayari ameteua wabunge sita na kati yao,  wanne ni mawaziri katika serikali yake.
Wabunge ambao Kikwete amewateua kuwa mawaziri tayari ni Profesa Sospeter Muhongo, Profesa Makame Mnyaa Mbarawa, Janet Mbene na Shamsi Vuai Nahodha.
Wabunge ambao Kikwete aliwateua lakini hawakupata uwaziri ni Zakhia Meghji na James Mbatia kutoka chama cha NCCR-Mageuzi.
Kwa sasa, Dk. Migiro, msomi wa kiwango cha shahada ya uzamivu katika sheria na Naibu Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa (UN), ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya  Taifa katika  dara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ya CCM.
Uteuzi huu wa Migiro umekuja pia katika kipindi ambacho Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, ameibua hoja ya kutaka serikali ichukue hatua dhidi ya mawaziri wanaotajwa kutokuwa wachapakazi.
Kinana ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa ndani ya CCM na inaelezwa kuwa ni sawa na ‘sikio’ la Kikwete kwa vile amekuwa meneja wake wa kampeni katika vipindi vyote viwili alivyowania urais kupitia CCM katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005 na 2010.
Kutokana na ushawishi huo wa Kinana, inaelezwa kuwa anaweza kusukuma kufanyiwa mabadiliko kwa baraza la mawaziri ili kazi ya siasa kama kiongozi mtendaji mkuu wa CCM iende vema, hasa katika mwelekeo wa maandalizi ya siasa za mwaka 2015, wakati wa UChaguzi Mkuu ujao.
- See more at: http://www.raiamwema.co.tz/baraza-la-mawaziri-kuvunjwa#sthash.QY2HcXVN.dpuf
KUNA dalili za wazi huenda Baraza la Mawaziri la Rais Jakaya Kikwete kufanyiwa mabadiliko hasa baada ya malalamiko kutoka kwa viongozi wa juu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye na Abdulrahama Kinana, ambao wamefikia hatua ya kutaka baadhi ya mawaziri kuitwa kujieleza katika Kamati Kuu ya Chama chao kuhusu utendaji wao wa kazi.
Kati ya mambo yanayoashiria kuwapo kwa uwezekano wa baraza la mawaziri kufanyiwa mabadiliko ni hatua ya mapema wiki hii, ya Rais Kikwete kumteua Dk. Asha Rose Migiro kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano.
Uteuzi huo ulitangazwa Jumanne wiki hii na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dk. Florens Turuka, katika taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyoeleza kwamba uteuzi huo umeanza rasmi juzi Jumatatu.
Kwa kawaida, wengi wa wabunge ambao Rais Kikwete amekuwa akiwateua kuwa wabunge wameishia kuwa mawaziri na uteuzi huu wa Migiro umeleta hisia hizo.
Tangu achaguliwe kuwa Rais katika awamu yake ya pili ya uongozi, ukiondoa uteuzi huu wa Migiro, Kikwete tayari ameteua wabunge sita na kati yao,  wanne ni mawaziri katika serikali yake.
Wabunge ambao Kikwete amewateua kuwa mawaziri tayari ni Profesa Sospeter Muhongo, Profesa Makame Mnyaa Mbarawa, Janet Mbene na Shamsi Vuai Nahodha.
Wabunge ambao Kikwete aliwateua lakini hawakupata uwaziri ni Zakhia Meghji na James Mbatia kutoka chama cha NCCR-Mageuzi.
Kwa sasa, Dk. Migiro, msomi wa kiwango cha shahada ya uzamivu katika sheria na Naibu Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa (UN), ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya  Taifa katika  dara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ya CCM.
Uteuzi huu wa Migiro umekuja pia katika kipindi ambacho Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, ameibua hoja ya kutaka serikali ichukue hatua dhidi ya mawaziri wanaotajwa kutokuwa wachapakazi.
Kinana ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa ndani ya CCM na inaelezwa kuwa ni sawa na ‘sikio’ la Kikwete kwa vile amekuwa meneja wake wa kampeni katika vipindi vyote viwili alivyowania urais kupitia CCM katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005 na 2010.
Kutokana na ushawishi huo wa Kinana, inaelezwa kuwa anaweza kusukuma kufanyiwa mabadiliko kwa baraza la mawaziri ili kazi ya siasa kama kiongozi mtendaji mkuu wa CCM iende vema, hasa katika mwelekeo wa maandalizi ya siasa za mwaka 2015, wakati wa UChaguzi Mkuu ujao.
- See more at: http://www.raiamwema.co.tz/baraza-la-mawaziri-kuvunjwa#sthash.QY2HcXVN.d
KUNA dalili za wazi huenda Baraza la Mawaziri la Rais Jakaya Kikwete kufanyiwa mabadiliko hasa baada ya malalamiko kutoka kwa viongozi wa juu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye na Abdulrahama Kinana, ambao wamefikia hatua ya kutaka baadhi ya mawaziri kuitwa kujieleza katika Kamati Kuu ya Chama chao kuhusu utendaji wao wa kazi.
Kati ya mambo yanayoashiria kuwapo kwa uwezekano wa baraza la mawaziri kufanyiwa mabadiliko ni hatua ya mapema wiki hii, ya Rais Kikwete kumteua Dk. Asha Rose Migiro kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano.
Uteuzi huo ulitangazwa Jumanne wiki hii na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dk. Florens Turuka, katika taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyoeleza kwamba uteuzi huo umeanza rasmi juzi Jumatatu.
Kwa kawaida, wengi wa wabunge ambao Rais Kikwete amekuwa akiwateua kuwa wabunge wameishia kuwa mawaziri na uteuzi huu wa Migiro umeleta hisia hizo.
Tangu achaguliwe kuwa Rais katika awamu yake ya pili ya uongozi, ukiondoa uteuzi huu wa Migiro, Kikwete tayari ameteua wabunge sita na kati yao,  wanne ni mawaziri katika serikali yake.
Wabunge ambao Kikwete amewateua kuwa mawaziri tayari ni Profesa Sospeter Muhongo, Profesa Makame Mnyaa Mbarawa, Janet Mbene na Shamsi Vuai Nahodha.
Wabunge ambao Kikwete aliwateua lakini hawakupata uwaziri ni Zakhia Meghji na James Mbatia kutoka chama cha NCCR-Mageuzi.
Kwa sasa, Dk. Migiro, msomi wa kiwango cha shahada ya uzamivu katika sheria na Naibu Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa (UN), ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya  Taifa katika  dara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ya CCM.
Uteuzi huu wa Migiro umekuja pia katika kipindi ambacho Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, ameibua hoja ya kutaka serikali ichukue hatua dhidi ya mawaziri wanaotajwa kutokuwa wachapakazi.
Kinana ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa ndani ya CCM na inaelezwa kuwa ni sawa na ‘sikio’ la Kikwete kwa vile amekuwa meneja wake wa kampeni katika vipindi vyote viwili alivyowania urais kupitia CCM katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005 na 2010.
Kutokana na ushawishi huo wa Kinana, inaelezwa kuwa anaweza kusukuma kufanyiwa mabadiliko kwa baraza la mawaziri ili kazi ya siasa kama kiongozi mtendaji mkuu wa CCM iende vema, hasa katika mwelekeo wa maandalizi ya siasa za mwaka 2015, wakati wa UChaguzi Mkuu ujao.
- See more at: http://www.raiamwema.co.tz/baraza-la-mawaziri-kuvunjwa#sthash.QY2HcXVN.dpufhdiaf i
KUNA dalili za wazi huenda Baraza la Mawaziri la Rais Jakaya Kikwete kufanyiwa mabadiliko hasa baada ya malalamiko kutoka kwa viongozi wa juu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye na Abdulrahama Kinana, ambao wamefikia hatua ya kutaka baadhi ya mawaziri kuitwa kujieleza katika Kamati Kuu ya Chama chao kuhusu utendaji wao wa kazi.
Kati ya mambo yanayoashiria kuwapo kwa uwezekano wa baraza la mawaziri kufanyiwa mabadiliko ni hatua ya mapema wiki hii, ya Rais Kikwete kumteua Dk. Asha Rose Migiro kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano.
Uteuzi huo ulitangazwa Jumanne wiki hii na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dk. Florens Turuka, katika taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyoeleza kwamba uteuzi huo umeanza rasmi juzi Jumatatu.
Kwa kawaida, wengi wa wabunge ambao Rais Kikwete amekuwa akiwateua kuwa wabunge wameishia kuwa mawaziri na uteuzi huu wa Migiro umeleta hisia hizo.
Tangu achaguliwe kuwa Rais katika awamu yake ya pili ya uongozi, ukiondoa uteuzi huu wa Migiro, Kikwete tayari ameteua wabunge sita na kati yao,  wanne ni mawaziri katika serikali yake.
Wabunge ambao Kikwete amewateua kuwa mawaziri tayari ni Profesa Sospeter Muhongo, Profesa Makame Mnyaa Mbarawa, Janet Mbene na Shamsi Vuai Nahodha.
Wabunge ambao Kikwete aliwateua lakini hawakupata uwaziri ni Zakhia Meghji na James Mbatia kutoka chama cha NCCR-Mageuzi.
Kwa sasa, Dk. Migiro, msomi wa kiwango cha shahada ya uzamivu katika sheria na Naibu Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa (UN), ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya  Taifa katika  dara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ya CCM.
Uteuzi huu wa Migiro umekuja pia katika kipindi ambacho Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, ameibua hoja ya kutaka serikali ichukue hatua dhidi ya mawaziri wanaotajwa kutokuwa wachapakazi.
Kinana ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa ndani ya CCM na inaelezwa kuwa ni sawa na ‘sikio’ la Kikwete kwa vile amekuwa meneja wake wa kampeni katika vipindi vyote viwili alivyowania urais kupitia CCM katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005 na 2010.
Kutokana na ushawishi huo wa Kinana, inaelezwa kuwa anaweza kusukuma kufanyiwa mabadiliko kwa baraza la mawaziri ili kazi ya siasa kama kiongozi mtendaji mkuu wa CCM iende vema, hasa katika mwelekeo wa maandalizi ya siasa za mwaka 2015, wakati wa UChaguzi Mkuu ujao.
- See more at: http://www.raiamwema.co.tz/baraza-la-mawaziri-kuvunjwa#sthash.QY2HcXVN.dpuf
KUNA dalili za wazi huenda Baraza la Mawaziri la Rais Jakaya Kikwete kufanyiwa mabadiliko hasa baada ya malalamiko kutoka kwa viongozi wa juu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye na Abdulrahama Kinana, ambao wamefikia hatua ya kutaka baadhi ya mawaziri kuitwa kujieleza katika Kamati Kuu ya Chama chao kuhusu utendaji wao wa kazi.
Kati ya mambo yanayoashiria kuwapo kwa uwezekano wa baraza la mawaziri kufanyiwa mabadiliko ni hatua ya mapema wiki hii, ya Rais Kikwete kumteua Dk. Asha Rose Migiro kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano.
Uteuzi huo ulitangazwa Jumanne wiki hii na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dk. Florens Turuka, katika taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyoeleza kwamba uteuzi huo umeanza rasmi juzi Jumatatu.
Kwa kawaida, wengi wa wabunge ambao Rais Kikwete amekuwa akiwateua kuwa wabunge wameishia kuwa mawaziri na uteuzi huu wa Migiro umeleta hisia hizo.
Tangu achaguliwe kuwa Rais katika awamu yake ya pili ya uongozi, ukiondoa uteuzi huu wa Migiro, Kikwete tayari ameteua wabunge sita na kati yao,  wanne ni mawaziri katika serikali yake.
Wabunge ambao Kikwete amewateua kuwa mawaziri tayari ni Profesa Sospeter Muhongo, Profesa Makame Mnyaa Mbarawa, Janet Mbene na Shamsi Vuai Nahodha.
Wabunge ambao Kikwete aliwateua lakini hawakupata uwaziri ni Zakhia Meghji na James Mbatia kutoka chama cha NCCR-Mageuzi.
Kwa sasa, Dk. Migiro, msomi wa kiwango cha shahada ya uzamivu katika sheria na Naibu Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa (UN), ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya  Taifa katika  dara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ya CCM.
Uteuzi huu wa Migiro umekuja pia katika kipindi ambacho Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, ameibua hoja ya kutaka serikali ichukue hatua dhidi ya mawaziri wanaotajwa kutokuwa wachapakazi.
Kinana ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa ndani ya CCM na inaelezwa kuwa ni sawa na ‘sikio’ la Kikwete kwa vile amekuwa meneja wake wa kampeni katika vipindi vyote viwili alivyowania urais kupitia CCM katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005 na 2010.
Kutokana na ushawishi huo wa Kinana, inaelezwa kuwa anaweza kusukuma kufanyiwa mabadiliko kwa baraza la mawaziri ili kazi ya siasa kama kiongozi mtendaji mkuu wa CCM iende vema, hasa katika mwelekeo wa maandalizi ya siasa za mwaka 2015, wakati wa UChaguzi Mkuu ujao.
- See more at: http://www.raiamwema.co.tz/baraza-la-mawaziri-kuvunjwa#sthash.QY2HcXVN.dpuf
KUNA dalili za wazi huenda Baraza la Mawaziri la Rais Jakaya Kikwete kufanyiwa mabadiliko hasa baada ya malalamiko kutoka kwa viongozi wa juu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye na Abdulrahama Kinana, ambao wamefikia hatua ya kutaka baadhi ya mawaziri kuitwa kujieleza katika Kamati Kuu ya Chama chao kuhusu utendaji wao wa kazi.
Kati ya mambo yanayoashiria kuwapo kwa uwezekano wa baraza la mawaziri kufanyiwa mabadiliko ni hatua ya mapema wiki hii, ya Rais Kikwete kumteua Dk. Asha Rose Migiro kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano.
Uteuzi huo ulitangazwa Jumanne wiki hii na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dk. Florens Turuka, katika taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyoeleza kwamba uteuzi huo umeanza rasmi juzi Jumatatu.
Kwa kawaida, wengi wa wabunge ambao Rais Kikwete amekuwa akiwateua kuwa wabunge wameishia kuwa mawaziri na uteuzi huu wa Migiro umeleta hisia hizo.
Tangu achaguliwe kuwa Rais katika awamu yake ya pili ya uongozi, ukiondoa uteuzi huu wa Migiro, Kikwete tayari ameteua wabunge sita na kati yao,  wanne ni mawaziri katika serikali yake.
Wabunge ambao Kikwete amewateua kuwa mawaziri tayari ni Profesa Sospeter Muhongo, Profesa Makame Mnyaa Mbarawa, Janet Mbene na Shamsi Vuai Nahodha.
Wabunge ambao Kikwete aliwateua lakini hawakupata uwaziri ni Zakhia Meghji na James Mbatia kutoka chama cha NCCR-Mageuzi.
Kwa sasa, Dk. Migiro, msomi wa kiwango cha shahada ya uzamivu katika sheria na Naibu Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa (UN), ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya  Taifa katika  dara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ya CCM.
Uteuzi huu wa Migiro umekuja pia katika kipindi ambacho Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, ameibua hoja ya kutaka serikali ichukue hatua dhidi ya mawaziri wanaotajwa kutokuwa wachapakazi.
Kinana ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa ndani ya CCM na inaelezwa kuwa ni sawa na ‘sikio’ la Kikwete kwa vile amekuwa meneja wake wa kampeni katika vipindi vyote viwili alivyowania urais kupitia CCM katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005 na 2010.
Kutokana na ushawishi huo wa Kinana, inaelezwa kuwa anaweza kusukuma kufanyiwa mabadiliko kwa baraza la mawaziri ili kazi ya siasa kama kiongozi mtendaji mkuu wa CCM iende vema, hasa katika mwelekeo wa maandalizi ya siasa za mwaka 2015, wakati wa UChaguzi Mkuu ujao.
- See more at: http://www.raiamwema.co.tz/baraza-la-mawaziri-kuvunjwa#sthash.QY2HcXVN.dpuf

Wednesday 11 December 2013

Bunge laanza kuchambua ripoti za Kamati

. Mkutano wa 14 wa Bunge, unaendelea mjini Dodoma leo. Inatarajiwa kwamba wabunge wataendelea kutema cheche dhidi ya utendaji usioridhisha wa baadhi ya mawaziri.
Kwa mujibu wa ratiba ya mkutano huo, leo wabunge watachangia ripoti tatu za kamati za kudumu za Bunge zinazosimamia fedha za umma zilizowasilishwa wiki iliyopita.
Ripoti zitakazoendelea kujadiliwa ni pamoja na ya Kamati ya Serikali za Mitaa (Laac), ambayo inaonekana kuwagusa wabunge wengi kutokana na kuibua ufisadi wa kutisha.
Wabunge pia wataendelea kuchangia ripoti ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali na Mashirika ya Umma inayoongozwa na Zitto Kabwe (PAC) na ile ya Bajeti inayoongozwa na Andrew Chenge.
Baada ya kukamilika kwa mijadala hiyo, Serikali inatarajiwa kujibu hoja mbalimbali za wabunge ambao wameonyesha kutoridhishwa na utendaji wa baadhi ya mawaziri.
Kuendelea kuwapo kwa vitendo vya wizi, ubadhirifu na ufisadi kwa baadhi ya wizara kunaonekana kuwachefua wabunge hata baadhi yao kumshauri Rais Jakaya Kikwete kuwawajibisha.
Baadhi ya wabunge waliochangia Ijumaa na Jumamosi iliyopita walimtaka Rais Kikwete kumfukuza kazi Waziri Mkuu, Mizengo Pinda. Wengine walimtaka amfukuze kazi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tamisemi, Hawa Ghasia, kwa kushindwa kukabiliana na ufisadi.
Mbunge wa Mwibara (CCM), Kangi Lugola ndiye aliyekuwa mwiba kwa Pinda akisema amekuwa mpole na hawajibiki ipasavyo. Alisema katika nchi nyingine, wakati Kamati za Bunge zinawasilisha taarifa zake ndipo jicho la wananchi na Serikali linakuwa bungeni lakini kwa Tanzania imekuwa ni tofauti.
Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila alisema taifa lina matatizo makubwa mawili ambayo ni ukusanyaji kodi na matumizi mabaya ya fedha.
“Tunaposema Serikali imechoka maana mbadilishe kikosi, mpaka dakika 90 ziishe? Wabunge wa CCM mtakubaliana nami kwamba hii ni dalili kwamba mmechoka mbadili kikosi,” alisema na kuongeza:
“Waziri Mkuu wetu tumeshamzoea kila suala tunalomwambia anakwambia tunaangalia, tunafuatilia, tuko mbioni yanazungumzika… tumechoka na haya.”
Alisema mawaziri mizigo walitajwa katika ziara ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana wako wanne lakini Pinda ndiye namba moja.

Simba yafuta makosa ya Cannavaro, Yondani

KOSA la kumzuia straika Amisi Tambwe lililofanywa na mabeki wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ na Kelvin Yondani hadi akapiga pasi kwa mfungaji Betram Mombeki, sasa linafanyiwa kazi na kikosi cha Simba.
Mombeki alifunga bao hilo dakika ya 54 baada ya kupokea pasi murua ya Tambwe ambaye aliwazidi ujanja Yondani na Cannavaro ambao walijipanga vibaya kwa kumzuia Tambwe lakini straika huyo aliwazidi ujanja na kumpa pasi mfungaji.
Katika pambano hilo la Ligi Kuu Bara lililochezwa Oktoba 20, mwaka huu kaika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, Yanga ilikuwa ikiongoza kwa mabao 3-0 hadi mapumziko lakini Simba ilisawazisha mabao yote kipindi cha pili.
Kwa muda mrefu kwenye mazoezi ya Simba mwishoni mwa wiki iliyopita, Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic ameonekana akiwahimiza mabeki wake hasa wa kati kusimama katika nafasi sahihi wakati timu inaposhambuliwa.
Logarusic alionekana akitilia mkazo sehamu ya kusimama mabeki wake na mara kwa mara alikuwa akiwaelekeza kwa ukali baadhi ya mabeki waliokuwa wakirudia makosa ya kutokuwapo sehemu husika. Kocha huyo alienda mbali zaidi kwa kuwafundisha mabeki wake namna ya kusimama wanapokuwa wanakaba jambo lililokuwa likishangiliwa na mashabiki wachache wa Simba waliohudhuria mazoezi hayo.
Muda mfupi baada ya mazoezi hayo, Logarusic raia wa Croatia aliliambia Mwanaspoti; “Beki yeyote mzuri lazima awe anajua mahala sahihi pa kusimama na usimamaji wake unapaswa kuwa madhubuti ndiyo maana umeona nawasisitizia.”