Friday 13 December 2013

Kenya yasherehekea miaka 50 ya Uhuru

Kenya inasherehekea miaka 50 ya uhuru walioupata chini ya utawala wa Uingereza.
Mamia ya raia na wageni mbali mbali wamehudhuria katika sherehe hizo zilizofanyika katika mji mkuu wa Nairobi.
Wageni mbali mbali pamoja marais wa mataifa mbali mbali wamehudhuria sherehe hizo akiwemo rais Nigeria Godluck Jonathan wa Nigeria, Jakaya Kikwete wa Tanzania, Joseph Kabila wa DRC, Pierre Nkurunziza wa Burundi, Ali Bongo wa Gabon, Mahinda Rajapaksa wa Sri Lanka.
Usiku wa kuamkia Alhamis bendera ya Kenya ilipandishwa katika eneo hilo hilo siku bendera ya uhuru ilipopandishwa wakati nchi hiyo inapata uhuru katika bustani ya Uhuru Desemba 12, 1963.
Siku hiyo ya uhuru Rais Jomo Kenyatta, baba yake rais wa sasa Uhuru Kenyatta alitawazwa kuwa kiongozi wa nchi hiyo.
KUNA dalili za wazi huenda Baraza la Mawaziri la Rais Jakaya Kikwete kufanyiwa mabadiliko hasa baada ya malalamiko kutoka kwa viongozi wa juu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye na Abdulrahama Kinana, ambao wamefikia hatua ya kutaka baadhi ya mawaziri kuitwa kujieleza katika Kamati Kuu ya Chama chao kuhusu utendaji wao wa kazi.
Kati ya mambo yanayoashiria kuwapo kwa uwezekano wa baraza la mawaziri kufanyiwa mabadiliko ni hatua ya mapema wiki hii, ya Rais Kikwete kumteua Dk. Asha Rose Migiro kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano.
Uteuzi huo ulitangazwa Jumanne wiki hii na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dk. Florens Turuka, katika taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyoeleza kwamba uteuzi huo umeanza rasmi juzi Jumatatu.
Kwa kawaida, wengi wa wabunge ambao Rais Kikwete amekuwa akiwateua kuwa wabunge wameishia kuwa mawaziri na uteuzi huu wa Migiro umeleta hisia hizo.
Tangu achaguliwe kuwa Rais katika awamu yake ya pili ya uongozi, ukiondoa uteuzi huu wa Migiro, Kikwete tayari ameteua wabunge sita na kati yao,  wanne ni mawaziri katika serikali yake.
Wabunge ambao Kikwete amewateua kuwa mawaziri tayari ni Profesa Sospeter Muhongo, Profesa Makame Mnyaa Mbarawa, Janet Mbene na Shamsi Vuai Nahodha.
Wabunge ambao Kikwete aliwateua lakini hawakupata uwaziri ni Zakhia Meghji na James Mbatia kutoka chama cha NCCR-Mageuzi.
Kwa sasa, Dk. Migiro, msomi wa kiwango cha shahada ya uzamivu katika sheria na Naibu Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa (UN), ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya  Taifa katika  dara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ya CCM.
Uteuzi huu wa Migiro umekuja pia katika kipindi ambacho Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, ameibua hoja ya kutaka serikali ichukue hatua dhidi ya mawaziri wanaotajwa kutokuwa wachapakazi.
Kinana ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa ndani ya CCM na inaelezwa kuwa ni sawa na ‘sikio’ la Kikwete kwa vile amekuwa meneja wake wa kampeni katika vipindi vyote viwili alivyowania urais kupitia CCM katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005 na 2010.
Kutokana na ushawishi huo wa Kinana, inaelezwa kuwa anaweza kusukuma kufanyiwa mabadiliko kwa baraza la mawaziri ili kazi ya siasa kama kiongozi mtendaji mkuu wa CCM iende vema, hasa katika mwelekeo wa maandalizi ya siasa za mwaka 2015, wakati wa UChaguzi Mkuu ujao.
- See more at: http://www.raiamwema.co.tz/baraza-la-mawaziri-kuvunjwa#sthash.QY2HcXVN.dpuf
KUNA dalili za wazi huenda Baraza la Mawaziri la Rais Jakaya Kikwete kufanyiwa mabadiliko hasa baada ya malalamiko kutoka kwa viongozi wa juu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye na Abdulrahama Kinana, ambao wamefikia hatua ya kutaka baadhi ya mawaziri kuitwa kujieleza katika Kamati Kuu ya Chama chao kuhusu utendaji wao wa kazi.
Kati ya mambo yanayoashiria kuwapo kwa uwezekano wa baraza la mawaziri kufanyiwa mabadiliko ni hatua ya mapema wiki hii, ya Rais Kikwete kumteua Dk. Asha Rose Migiro kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano.
Uteuzi huo ulitangazwa Jumanne wiki hii na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dk. Florens Turuka, katika taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyoeleza kwamba uteuzi huo umeanza rasmi juzi Jumatatu.
Kwa kawaida, wengi wa wabunge ambao Rais Kikwete amekuwa akiwateua kuwa wabunge wameishia kuwa mawaziri na uteuzi huu wa Migiro umeleta hisia hizo.
Tangu achaguliwe kuwa Rais katika awamu yake ya pili ya uongozi, ukiondoa uteuzi huu wa Migiro, Kikwete tayari ameteua wabunge sita na kati yao,  wanne ni mawaziri katika serikali yake.
Wabunge ambao Kikwete amewateua kuwa mawaziri tayari ni Profesa Sospeter Muhongo, Profesa Makame Mnyaa Mbarawa, Janet Mbene na Shamsi Vuai Nahodha.
Wabunge ambao Kikwete aliwateua lakini hawakupata uwaziri ni Zakhia Meghji na James Mbatia kutoka chama cha NCCR-Mageuzi.
Kwa sasa, Dk. Migiro, msomi wa kiwango cha shahada ya uzamivu katika sheria na Naibu Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa (UN), ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya  Taifa katika  dara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ya CCM.
Uteuzi huu wa Migiro umekuja pia katika kipindi ambacho Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, ameibua hoja ya kutaka serikali ichukue hatua dhidi ya mawaziri wanaotajwa kutokuwa wachapakazi.
Kinana ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa ndani ya CCM na inaelezwa kuwa ni sawa na ‘sikio’ la Kikwete kwa vile amekuwa meneja wake wa kampeni katika vipindi vyote viwili alivyowania urais kupitia CCM katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005 na 2010.
Kutokana na ushawishi huo wa Kinana, inaelezwa kuwa anaweza kusukuma kufanyiwa mabadiliko kwa baraza la mawaziri ili kazi ya siasa kama kiongozi mtendaji mkuu wa CCM iende vema, hasa katika mwelekeo wa maandalizi ya siasa za mwaka 2015, wakati wa UChaguzi Mkuu ujao.
- See more at: http://www.raiamwema.co.tz/baraza-la-mawaziri-kuvunjwa#sthash.QY2HcXVN.d
KUNA dalili za wazi huenda Baraza la Mawaziri la Rais Jakaya Kikwete kufanyiwa mabadiliko hasa baada ya malalamiko kutoka kwa viongozi wa juu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye na Abdulrahama Kinana, ambao wamefikia hatua ya kutaka baadhi ya mawaziri kuitwa kujieleza katika Kamati Kuu ya Chama chao kuhusu utendaji wao wa kazi.
Kati ya mambo yanayoashiria kuwapo kwa uwezekano wa baraza la mawaziri kufanyiwa mabadiliko ni hatua ya mapema wiki hii, ya Rais Kikwete kumteua Dk. Asha Rose Migiro kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano.
Uteuzi huo ulitangazwa Jumanne wiki hii na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dk. Florens Turuka, katika taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyoeleza kwamba uteuzi huo umeanza rasmi juzi Jumatatu.
Kwa kawaida, wengi wa wabunge ambao Rais Kikwete amekuwa akiwateua kuwa wabunge wameishia kuwa mawaziri na uteuzi huu wa Migiro umeleta hisia hizo.
Tangu achaguliwe kuwa Rais katika awamu yake ya pili ya uongozi, ukiondoa uteuzi huu wa Migiro, Kikwete tayari ameteua wabunge sita na kati yao,  wanne ni mawaziri katika serikali yake.
Wabunge ambao Kikwete amewateua kuwa mawaziri tayari ni Profesa Sospeter Muhongo, Profesa Makame Mnyaa Mbarawa, Janet Mbene na Shamsi Vuai Nahodha.
Wabunge ambao Kikwete aliwateua lakini hawakupata uwaziri ni Zakhia Meghji na James Mbatia kutoka chama cha NCCR-Mageuzi.
Kwa sasa, Dk. Migiro, msomi wa kiwango cha shahada ya uzamivu katika sheria na Naibu Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa (UN), ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya  Taifa katika  dara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ya CCM.
Uteuzi huu wa Migiro umekuja pia katika kipindi ambacho Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, ameibua hoja ya kutaka serikali ichukue hatua dhidi ya mawaziri wanaotajwa kutokuwa wachapakazi.
Kinana ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa ndani ya CCM na inaelezwa kuwa ni sawa na ‘sikio’ la Kikwete kwa vile amekuwa meneja wake wa kampeni katika vipindi vyote viwili alivyowania urais kupitia CCM katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005 na 2010.
Kutokana na ushawishi huo wa Kinana, inaelezwa kuwa anaweza kusukuma kufanyiwa mabadiliko kwa baraza la mawaziri ili kazi ya siasa kama kiongozi mtendaji mkuu wa CCM iende vema, hasa katika mwelekeo wa maandalizi ya siasa za mwaka 2015, wakati wa UChaguzi Mkuu ujao.
- See more at: http://www.raiamwema.co.tz/baraza-la-mawaziri-kuvunjwa#sthash.QY2HcXVN.dpufhdiaf i
KUNA dalili za wazi huenda Baraza la Mawaziri la Rais Jakaya Kikwete kufanyiwa mabadiliko hasa baada ya malalamiko kutoka kwa viongozi wa juu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye na Abdulrahama Kinana, ambao wamefikia hatua ya kutaka baadhi ya mawaziri kuitwa kujieleza katika Kamati Kuu ya Chama chao kuhusu utendaji wao wa kazi.
Kati ya mambo yanayoashiria kuwapo kwa uwezekano wa baraza la mawaziri kufanyiwa mabadiliko ni hatua ya mapema wiki hii, ya Rais Kikwete kumteua Dk. Asha Rose Migiro kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano.
Uteuzi huo ulitangazwa Jumanne wiki hii na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dk. Florens Turuka, katika taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyoeleza kwamba uteuzi huo umeanza rasmi juzi Jumatatu.
Kwa kawaida, wengi wa wabunge ambao Rais Kikwete amekuwa akiwateua kuwa wabunge wameishia kuwa mawaziri na uteuzi huu wa Migiro umeleta hisia hizo.
Tangu achaguliwe kuwa Rais katika awamu yake ya pili ya uongozi, ukiondoa uteuzi huu wa Migiro, Kikwete tayari ameteua wabunge sita na kati yao,  wanne ni mawaziri katika serikali yake.
Wabunge ambao Kikwete amewateua kuwa mawaziri tayari ni Profesa Sospeter Muhongo, Profesa Makame Mnyaa Mbarawa, Janet Mbene na Shamsi Vuai Nahodha.
Wabunge ambao Kikwete aliwateua lakini hawakupata uwaziri ni Zakhia Meghji na James Mbatia kutoka chama cha NCCR-Mageuzi.
Kwa sasa, Dk. Migiro, msomi wa kiwango cha shahada ya uzamivu katika sheria na Naibu Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa (UN), ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya  Taifa katika  dara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ya CCM.
Uteuzi huu wa Migiro umekuja pia katika kipindi ambacho Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, ameibua hoja ya kutaka serikali ichukue hatua dhidi ya mawaziri wanaotajwa kutokuwa wachapakazi.
Kinana ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa ndani ya CCM na inaelezwa kuwa ni sawa na ‘sikio’ la Kikwete kwa vile amekuwa meneja wake wa kampeni katika vipindi vyote viwili alivyowania urais kupitia CCM katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005 na 2010.
Kutokana na ushawishi huo wa Kinana, inaelezwa kuwa anaweza kusukuma kufanyiwa mabadiliko kwa baraza la mawaziri ili kazi ya siasa kama kiongozi mtendaji mkuu wa CCM iende vema, hasa katika mwelekeo wa maandalizi ya siasa za mwaka 2015, wakati wa UChaguzi Mkuu ujao.
- See more at: http://www.raiamwema.co.tz/baraza-la-mawaziri-kuvunjwa#sthash.QY2HcXVN.dpuf
KUNA dalili za wazi huenda Baraza la Mawaziri la Rais Jakaya Kikwete kufanyiwa mabadiliko hasa baada ya malalamiko kutoka kwa viongozi wa juu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye na Abdulrahama Kinana, ambao wamefikia hatua ya kutaka baadhi ya mawaziri kuitwa kujieleza katika Kamati Kuu ya Chama chao kuhusu utendaji wao wa kazi.
Kati ya mambo yanayoashiria kuwapo kwa uwezekano wa baraza la mawaziri kufanyiwa mabadiliko ni hatua ya mapema wiki hii, ya Rais Kikwete kumteua Dk. Asha Rose Migiro kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano.
Uteuzi huo ulitangazwa Jumanne wiki hii na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dk. Florens Turuka, katika taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyoeleza kwamba uteuzi huo umeanza rasmi juzi Jumatatu.
Kwa kawaida, wengi wa wabunge ambao Rais Kikwete amekuwa akiwateua kuwa wabunge wameishia kuwa mawaziri na uteuzi huu wa Migiro umeleta hisia hizo.
Tangu achaguliwe kuwa Rais katika awamu yake ya pili ya uongozi, ukiondoa uteuzi huu wa Migiro, Kikwete tayari ameteua wabunge sita na kati yao,  wanne ni mawaziri katika serikali yake.
Wabunge ambao Kikwete amewateua kuwa mawaziri tayari ni Profesa Sospeter Muhongo, Profesa Makame Mnyaa Mbarawa, Janet Mbene na Shamsi Vuai Nahodha.
Wabunge ambao Kikwete aliwateua lakini hawakupata uwaziri ni Zakhia Meghji na James Mbatia kutoka chama cha NCCR-Mageuzi.
Kwa sasa, Dk. Migiro, msomi wa kiwango cha shahada ya uzamivu katika sheria na Naibu Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa (UN), ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya  Taifa katika  dara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ya CCM.
Uteuzi huu wa Migiro umekuja pia katika kipindi ambacho Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, ameibua hoja ya kutaka serikali ichukue hatua dhidi ya mawaziri wanaotajwa kutokuwa wachapakazi.
Kinana ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa ndani ya CCM na inaelezwa kuwa ni sawa na ‘sikio’ la Kikwete kwa vile amekuwa meneja wake wa kampeni katika vipindi vyote viwili alivyowania urais kupitia CCM katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005 na 2010.
Kutokana na ushawishi huo wa Kinana, inaelezwa kuwa anaweza kusukuma kufanyiwa mabadiliko kwa baraza la mawaziri ili kazi ya siasa kama kiongozi mtendaji mkuu wa CCM iende vema, hasa katika mwelekeo wa maandalizi ya siasa za mwaka 2015, wakati wa UChaguzi Mkuu ujao.
- See more at: http://www.raiamwema.co.tz/baraza-la-mawaziri-kuvunjwa#sthash.QY2HcXVN.dpuf
KUNA dalili za wazi huenda Baraza la Mawaziri la Rais Jakaya Kikwete kufanyiwa mabadiliko hasa baada ya malalamiko kutoka kwa viongozi wa juu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye na Abdulrahama Kinana, ambao wamefikia hatua ya kutaka baadhi ya mawaziri kuitwa kujieleza katika Kamati Kuu ya Chama chao kuhusu utendaji wao wa kazi.
Kati ya mambo yanayoashiria kuwapo kwa uwezekano wa baraza la mawaziri kufanyiwa mabadiliko ni hatua ya mapema wiki hii, ya Rais Kikwete kumteua Dk. Asha Rose Migiro kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano.
Uteuzi huo ulitangazwa Jumanne wiki hii na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dk. Florens Turuka, katika taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyoeleza kwamba uteuzi huo umeanza rasmi juzi Jumatatu.
Kwa kawaida, wengi wa wabunge ambao Rais Kikwete amekuwa akiwateua kuwa wabunge wameishia kuwa mawaziri na uteuzi huu wa Migiro umeleta hisia hizo.
Tangu achaguliwe kuwa Rais katika awamu yake ya pili ya uongozi, ukiondoa uteuzi huu wa Migiro, Kikwete tayari ameteua wabunge sita na kati yao,  wanne ni mawaziri katika serikali yake.
Wabunge ambao Kikwete amewateua kuwa mawaziri tayari ni Profesa Sospeter Muhongo, Profesa Makame Mnyaa Mbarawa, Janet Mbene na Shamsi Vuai Nahodha.
Wabunge ambao Kikwete aliwateua lakini hawakupata uwaziri ni Zakhia Meghji na James Mbatia kutoka chama cha NCCR-Mageuzi.
Kwa sasa, Dk. Migiro, msomi wa kiwango cha shahada ya uzamivu katika sheria na Naibu Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa (UN), ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya  Taifa katika  dara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ya CCM.
Uteuzi huu wa Migiro umekuja pia katika kipindi ambacho Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, ameibua hoja ya kutaka serikali ichukue hatua dhidi ya mawaziri wanaotajwa kutokuwa wachapakazi.
Kinana ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa ndani ya CCM na inaelezwa kuwa ni sawa na ‘sikio’ la Kikwete kwa vile amekuwa meneja wake wa kampeni katika vipindi vyote viwili alivyowania urais kupitia CCM katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005 na 2010.
Kutokana na ushawishi huo wa Kinana, inaelezwa kuwa anaweza kusukuma kufanyiwa mabadiliko kwa baraza la mawaziri ili kazi ya siasa kama kiongozi mtendaji mkuu wa CCM iende vema, hasa katika mwelekeo wa maandalizi ya siasa za mwaka 2015, wakati wa UChaguzi Mkuu ujao.
- See more at: http://www.raiamwema.co.tz/baraza-la-mawaziri-kuvunjwa#sthash.QY2HcXVN.dpuf

No comments: