Wednesday 11 December 2013

NEWCASTLE YASABABISHA KIFO CHA SHABIKI WA MAN U

Shabiki wa soka nchini Kenya ambaye ni fan wa kutupa wa Man United John Macharia amejiua wikiendi hii akijirusha kutoka ghorofa ya saba katika Apartment anayoishi baada ya timu yake ya Manchester United kufungwa na Newcastle siku ya Jumamosi.

No comments: