Friday 20 October 2017

RASMI : MATOKEO YA DARASA LA SABA 2017/18 YATANGAZWA, SOMA HAPA

Baraza la Mitihani taifa ( NECTA) limetangaza matokeo ya darasa la saba leo tarehe 20/10/2017
kupata matokeo hayo  BOFYA HAPA 👇👇👇👇
                                   MATOKEO YA DARASA LA SABA 2017/18

Thursday 12 October 2017

MCHEZAJI WA ZAMANI WA CHELSEA NA AC MILAN GEORGE WEAH ASHINDA URAIS LIBERIA




Aliyekuwa mchezaji wa zamani wa Chelsea akitokea Ac Milani George Weah amefanikiwa kushinda nafasi  ya urais iliyoachwa wazi na aliyekuwa rais Mstaafu Eileen nchini Liberia kwa kuwabwanga washindani wenzake 19 waliokuwa wakiwania kiti hicho cha urais.