Mtoto aliyeathirika ka virusi vya Zika |
Virusi hai vya Zika vyapatikana katika mate na mikojo ya wagonjwa,wanasayansi wa Brazil wamesema.
Matokeo
hayo hayamaanishi kwamba ugonjwa huo unaweza kusambazwa kupitia maji
maji hayo ya mwilini.Sababu kuu ya kuenea kwa virusi hivyo ni kupitia
kuumwa na mbu,lakini wanasayansi wanachunguza njia nyengine.Huku maambukizi ya Zika yakiwa sio makali,ugonjwa huo umehusishwa na maelfu ya watoto waliozaliwa na kasoro.
Paula Gadelha,mkuu wa taasisi ya Fiocruz ambayo inashirikiana na wizara ya Afya amesema:''Virusi hivyo vya Zika vimepatikana katika Mate na mikojo''.
Wanasaynsi wa Brazil |
No comments:
Post a Comment