Friday 27 February 2015

Chid benzi ahukumiwa miaka miwili jela

Mahakama ya hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu kifungo cha miaka miwili jela Msanii wa Hip Hop, Rashid Makwiro 'Chid Benz' au kulipa faini ya shingili laki tisa bada ya kupatikana na hatia ya makosa matatu ikiwemo kukutwa na dawa za kulevya aina ya heroin yenye thamani ya sh. 38,638, bangi ya sh. 1,720 na vifaa ya kuvutia dawa hizo kijiko na kigae.

No comments: