Pulido, anayechezea klabu ya soka ya Olympiakos ya Ugiriki alijikata mkono wake wakati akijaribu kuvunja kioo kwenye mlango ili atoroke kabla ya polisi kuwasili katika eneo hilo.Alitekwa siku ya jumamosi na watu waliokuwa wamefunika nyuso zao wakati akitokea kwenye sherehe moja karibu na mji wake anaoishi wa Ciudad Victoria katika jimbo la Tamaulipas.
Tuesday, 31 May 2016
Hivi ndivyo alivyookolewa Alan Pulido
Pulido, anayechezea klabu ya soka ya Olympiakos ya Ugiriki alijikata mkono wake wakati akijaribu kuvunja kioo kwenye mlango ili atoroke kabla ya polisi kuwasili katika eneo hilo.Alitekwa siku ya jumamosi na watu waliokuwa wamefunika nyuso zao wakati akitokea kwenye sherehe moja karibu na mji wake anaoishi wa Ciudad Victoria katika jimbo la Tamaulipas.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment