Tuesday 7 February 2017

Jeshi la polisi njombe lakamata vipondozi haramu zaidi ya tani 10





Mkuu wa mkoa wa njombe Mh Christopher Ole Sendeka  akishirikiana na vikosi vya Jeshi la Polisi Mkoani Njombe wamefanikiwa kukamata magari mawili ya kubeba Mafuta yakiwa yamebeba Vipodozi hatari kwa matumizi ya binadamuVyenye vinauzito wa Tan 10.      
        
 Kutokana na Tukio hilo Mkuu wa Mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka amemwagiza Kamanda wa Polisi Mkoa Wa Njombe,kushirikiana na TRA,TAKUKURU , TFDA na Wakala wa Barabara (TANROAD) kufutilia vipondozi hivyo vimeingiaje Nchini mpaka na vimepitaje toka Tunduma,Songwe,Mbeya mpaka kuja kukamatwa Mzani wa Makambako..   
Mpaka sasa watu watatu wanashikiliwa na Jeshi la polisi.

No comments: