MBEYA: Mtoto aliyezikwa jana akutwa chumbani kwake mara baada ya mazishi

Wakazi wa eneo la Isanga katika jiji la Mbeya wameendelea
kushuhudia visa na mikasa, ushilawadu na matukio ya vioja, baada ya
mtoto wa miaka 9 aliyekuwa amezikwa jana kwenye makaburi ya Isanga
kukutwa akiwa kitandani kwake amelala usingizi mara baada ya kurejea
kutoka makaburini.Kwa pamoja wananchi na wanafamilia walikubaliana asubuhi hii kwenda kufukua kaburi hilo ili waone nini kilichozikwa, na hivi dakika hizi zoezi hilo linaendelea .

No comments:
Post a Comment