Wednesday 4 January 2017

Jeshi la polisi Dar lafanikiwa kuua majambazi wawili

Jeshi la Polisi kanda ya Dar Es Salam lafanikiwa kupambana na majambazi na kuuwa wawili. Tukio hilo limetokea maeneo ya mikocheni karibu na shule ya sekondari Feza Boy.
inasadikika kuwa majambazi hao walitaka kumvamia raia wa China ambaye jina lake tumeshindwa kulipata

Kati ya hao majambazi , jambazi mmoja jinsia ya kike ambae ndiye alikuwa dereva wa gari la majambazi hao amejisalimisha mikononi mwa jeshi la polisi.
jeshi la polisi bado linasaka majambazi wengine.
 Kwa taarifa tulizozipata jeshi la polisi kwakutumia intelejinsi yao ilifanyamsako takribani wiki nzima hadi kufanikiwa kuwapata majambazi hao.

No comments: