Monday 19 December 2016

MABAKI YA GOLIATI YAMEPATIKANA MAGHARIBI MWA JERUSALEMU


Kwa waliopitia Biblia kidogo bila shaka story ya Goliati,  jitu kubwa itakuwa si ngeni masikioni mwako.
Hivi karibuni huko Magharibi mwa Jerusalemu yamepatikana mabaki ya mifupa ya binadamu (skeleton ) yanayoaminika kuwa ni ya mtu wa zama hizo aliyefahamika kama Goliati ambaye aliuawa na Daudi kwa jiwe.
Mtaalamu ( archaeologist) Dkt.  Richard Martin kutoka Ujerumani amesema kwamba viashiria vilivyopo katika mabaki hayo yanaendana na story ya vita kati ya Daudi na Goliati iliyopo katika Biblia.
Kadhalika katika fuvu la kichwa katika mabaki hayo pamepatikana jiwe linalosadikika kupigwa na Daudi.

No comments: