Monday 11 December 2017

Mwenyekiti na Katibu wa ACT wazalendo Singida ajiunga CCM


SINGIDA: Mwenyekiti wa ACT wazalendo, Wilfred Kitundu na Katibu wake Loth Thomas wamejivua uanachama wa chama hicho na kujiunga na CCM.Wadai kuridhishwa na utendaji wa Rais Magufuli

No comments: