Friday 28 March 2014

Rihana amchapa mtu kibao baada ya kumshika makalio

Hii ni Fundisho kwa Wanaume woote wanaopenda kuwasumbua wanawake waliona mvuto na Majumbile ya kuvutia, Mtoto wa Ki Barbdadian Mrembo Rihana ameweza kuwawakilisha wanawake wasiopenda udhalilishaji wa namna hii kwa Kumtandika Makofi Mwanaume aliyejitokeza kumshika Makalio Kwa nyuma.

No comments: