Katika mchezo wa kwanza Chelsea walipata goli kwa mkwaju wa penati kupitia kwa Eden Hazard huku Raheem Sterling akiisawaizishia Liverpool.
Mchezo mwingine wa nusu fainali ya pili utapigwa kati ya Sheffield United na Tottenham.
Tottenham walipata ushindi katika mchezo wa kwanza kwa bao 1-0 lilikwamishwa wavuni na Andros Townsend kwa mkwaju wa penati.
No comments:
Post a Comment