Tuesday 27 January 2015

PACHA WA WEMA TUERNEY AANZA KUINGIA DOA MASHABIKI WANAANZA KUMKATA


 tuerney ndio habari ya mujini kipindi hii, mwanadada huyo alianza kupata umaarufu na mashabiki wengi walianza kumkubali jinsi alivyo na namna anavyoolok like wema, but cha kushangaza umbea na udaku umeenza kusambaa kupitia mitandao tofauti ya kijamii, zimekuwa zikionekana message nyingi hususan huko insta zikimdiss mwanadada huyo, ikiwema account ya wemaauntezekiel ambayo mmiliki wa account hiyo ajulikani..

hiyo ni miongoni mwa picha iliyoenea kwenye mitandao tofauti tofauti huku watu wakidiss eti before and after, huku wengine wakisema chanzo cha kuanza kumdiss mwanadada huyo ni mara baada ya kualikwa kwenye shereh ya wema sepetu, halafu eti akakataa na kuanza kujisfia kwa watu kuwa amemkatalia, all in all mtandao wa makubwa haya utafanya jitihada ya kumtafuta mwanadada huyo na kufanya nae interview ili ukweli upate kujulika..

No comments: