Msemaji wa jeshi la Polisi nchini humo Advera Bulimba amesema vijana 36 walikamatwa na wanahojiwa.
Amefahamisha kuwa vijana hao wanatarajiwa kufikishwa mahakamani uchunguzi ukikamilika.
Aidha Msemaji wa jeshi la Polisi amefafanua kuwa ''Panya Road'' ni vikundi vidogo vidogo vya watoto wahuni wanaojiingiza katika vitendo vya uhalifu.
No comments:
Post a Comment