Tuesday 20 January 2015

Cristiano Ronaldo apewa talaka na mpenziwe

Cristiano-Ronaldo-and-Irina-ShaykKwa muda wa kama wiki mbili kumekuwa na story juu ya kuvunjika kwa uhusiano ya mwanasoka bora wa dunia, Cristiano Ronaldo na mpenzi wake ambaye ni mwanamitindo, Irina Shayk.
Wiki iliyopita msemaji rasmi wa Irina Shayk alithibitisha kwamba mrembo huyo mwenye asili ya Urusi ameachana na Ronaldo ambaye alikuwa na uhusiano naye kwa muda wa miaka 5, hata hivyo tetesi juu ya chanzo cha kuvunjika kwa uhusiano huyo zikaendelea huku mama mzazi wa Cristiano Ronaldo akitajwa kuhusika.
Mama mzazi wa Ronaldo, Dolares ametajwa kumkataa Irina kwa sababu haoni kama mwanamke huyo atafaa kuwa mzazi mwema kwa mtoto wa Ronaldo aitwaye Cristiano JR.
Cristiano I
Hata hivyo baada ya kusubiri kwa muda mrefu hatimaye Cristiano Ronaldo ameibuka na kuthibitisha kwamba ameachana na Irina huku akiomba jamii imuache aendelee na maisha yake binafsi.
Katika taarifa aliyotoa leo kwa vyombo vya habari, Ronaldo alisema ; “Huu ni mwisho wa uhusiano wangu na  Irina Shayk baada ya kudumu kwa miaka mitano. Tunaamini uamuzi huu ni sahihi kwa wakati huu“
Cristiano II
Ni halali yako kupata kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia

No comments: