Mancity ndio iliokuwa ya kwanza kufunga kupitia mchezaji wake Fernandinho lakini dakika tatu baadaye mchezaji Naismith wa Everton alisawazisha na kufaya mambo kuwa 1-1.
Matokeo hayo yanaiweka Mancity katika nafasi ya pili ikiwa na alama 47 dhidi ya Chelsea ambayo sasa iko kileleni mwa ligi hiyo ikiwa na alama 49.
Mancity wapata sare ya 1-1 dhidi ya Everton |
Chelsea ilipata mabao yake mawili kupitia Oscar na baadaye Diego Costa akawazunguka mabeki wa Newcastle na kufunga bao la pili.
Haya hapa ni matokeo ya mechi za Jumamosi:
Sunderland0 - 1 liverpool FT
Burnley 2 - 1 QPR FT
Chelsea 2 - 0 Newcastle FT
Everton 1 - 1 Man City FT
Leicester 1 - 0 Aston Villa FT
Swansea 1 - 1 West Ham FT
West Brom 1 - 0 Hull FT
No comments:
Post a Comment