Monday 3 February 2014

NAJ AFUNGUKA MENGI KUHUSU MR. BLUE

Mwanamuziki Naj ambae kwa sasa anaishi Uingereza ameelezea story nzima ya mahusiano kati yake na mr. Blue yaliyodumu kwa muda kidogo kabla ya kuchana mwaka jana mwanzoni. Naj anasema Blue ndo alikua boy wake wa kwanza na ndo aliyemtoa bikra.

Naj anafunguka kwamba hakua anajua kama kipindi yuko na Kabaiser kwamba alikua na mademu wengine wawili. Anasema Blue alikua mpole kwake na mstaarabu na wala hajutii kukutana nae maishani na kumfanya awe mwanamme wa kwanza kumvulia chu.....Naj ambae kwa sasa yupo masomoni uingereza alisema mahusiano yao yalikua magumu kutokana na umbali waliokua nao na mambo flan ambayo alisema ni ya kiprivate na hawez kuyaweka hadharani

No comments: