Wengi wanaamini kwamba kampeni hiyo itakamilisha harakati zake kama mchezaji na huenda Arsene Wenger akamchukua katika kilabu hiyo.
Na alipoulizwa iwapo Henry anaweza kurudi katika kilabu hiyo kama kocha ,Wenger alijibu kwamba hakuna lisilowezekana.''Mimi huwakaribisha watu ambao wameichezea timu hii''.
''Hatahivyo ni lazima ajifunze kazi hii mwanzo'',.
Nimewaona wengi ambao wana uwezo lakini wameshindwa katika fursa yao ya kwanza kwa kuwa hawakuwa tayari.
No comments:
Post a Comment