Friday 25 July 2014

Chelsea yazindua jezi nambari 3

Chelsea yazindua jezi ya 3Shirika la adidas na timu ya Chelsea wamezindua jezi ya 3 itakayovaliwa na timu hiyo msimu huu.
Timu ya Chelsea imezindua jezi ya 3 itakayotumiwa iwapo jezi ya kwanza na ya pili zitakaribiana kirangi na jezi ya timu watakayokuwa wakichuana nayo.
Uuzaji wa jezi hiyo utaanza rasmi tarehe 6 mwezi Agosti.

No comments: