Friday 25 July 2014

Wananchi wa pakistan wasambulia wachezaji wa klabu toka Israel

Mashabiki washambulia kilabu cha Israel
Mashabiki waliobeba bendera za Palestina walivuruga mechi ya kirafiki baina ya Lille na kilabu cha Israel Maccabi Haifa.
Upinzani wa mashambulizi ya Israel nchini Gaza ulipata mwelekeo mpya baada ya mashabiki kuwashumbulia wachezaji wa timu ya Maccabi Haifa katika mchuano wao wa kirafiki dhidi ya Lille nchini Ufaransa.
Vurugu hiyo ilianza katika dakika ya 84 pale mashabiki waliokuwa wamebeba bendera ya Palestina walipojitosa uwanjani na kuanza kuwashambulia wachezaji wa kilabu hiyo ya Israel.  
maccabi
Mechi hiyo iliendelea baada ya maafisa wa usalama kukwamisha vurugu na kuwatoa nje mashabiki hao. Lille ilitwaa ushindi wa mechi hiyo kwa mabao 2 kwa bila.
macca3

No comments: