Wednesday 2 July 2014

Wanne wafariki dunia kwa ajali ya ndege kenya

4 wafariki katika Ajali ya ndege KenyaWafanyakazi 4 wa shirika moja la ndege ya kubebea mizigo nchin kenya wameaga dunia baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kugonga jengo la orofa 2.

Ndege hiyo ya kubebea mizigo ilikumbwa na ajali hiyo punde tu baada ya kupaa kutoka uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta. Inasemekana kuwa huenda ndege hiyo iligonga nguzo ya umeme kabla ya kugonga jengo lile. Uchunguzi wa kubaini chanzo cha ajali hiyo umeanzishwa.

No comments: