Wednesday 3 June 2015

watoto waelezea changamoto za hedhi Tanzania

Suala la kuanza hedhi kwa watoto wa kike linasalia bado ni changamoto katika nchi zinazoendelea, Tanzania ikiwa ni mojawapo. Inaelezwa kuwa watoto wa kike baada ya kukabiliwa na mabadiliko ya mwili yanayoleta hedhi, hukabiliwa na changamoto kama vile kukosa vifaa vya kujisafi na hata ukaribu wa wazazi ili kuweza kuwasaidia. Je hali ikoje huko Tanzania? Watoto wanapokea vipi mabadiliko haya? Basi tuungane na na mwanahabari Neema Charles Mchacho wa mtandao wa wanahabari watoto kutoka Mwanza nchini Tanzania, mtandao unaofadhiliwa na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF.

No comments: