Basil Mramba alikuwa ni waziri wa fedha na uchumi na Daniel Yona
alikuwa waziri wa Nishati na madini wakati wa utawala wa rais Benjamini
Mkapa.
Mawaziri hao wamehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela leo tarehe 6 mwezi Julai kwa kuisababishia serikali hasara ya bilioni 10 pamoja na utumiaji mbaya wa madaraka.
Aidha hukumu hiyo imeambatanishwa na faini ya shilingi milioni tano kwa kila mmoja wao.
Wakati huohuo, katibu mkuu wa Hazina, Gray Mgonja ameachiwa huru baada ya kutokua na hatia yoyote ile
Mawaziri hao wamehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela leo tarehe 6 mwezi Julai kwa kuisababishia serikali hasara ya bilioni 10 pamoja na utumiaji mbaya wa madaraka.
Aidha hukumu hiyo imeambatanishwa na faini ya shilingi milioni tano kwa kila mmoja wao.
Wakati huohuo, katibu mkuu wa Hazina, Gray Mgonja ameachiwa huru baada ya kutokua na hatia yoyote ile
No comments:
Post a Comment