Awali, mamlaka ya eneo hilo yalikuwa yameambia VOA kuwa vikosi vilikuwa vinaandaliwa kwa mashambulizi kwenye maeneo yalio chini ya udhibiti wa al- Shabab ikiwemo ngome kuu ya mwisho ya mji wa Bardere.
Wanamgambo hao wamepoteza sehemu kubwa waliyokuwa wameshikilia huko Somalia lakini bado wanafanya mashambulizi makubwa. Jumanne shambulizi lililofanywa na al-Shabab kwenye makazi kaskazini mashariki mwa Kenya yaliwauwa watu 14.
No comments:
Post a Comment