Dakika tatu baadaye Messi aliiadhibu Bayern baada ya kumpita mlinzi Jerome Boateng na kufunga kilaini.
Kikosi cha Bayern kikiongozwa na kocha wa zamani wa Barcelona Pep Guardiola, kilizidisha mashambulizi japo kupata bao la ugenini, matokeo yake ni kuadhibiwa tena na Neymar katika dakika ya 90
Hadi kufikia matokeo hayo ya kuchanganya, Bayern walionyesha uwezo mkubwa wa kusakata soka.
Barcelona na Bayern zitarudiana tarehe 12 Mei katika uwanja wake wa Allianz Arena, Ujerumani.
No comments:
Post a Comment