Hata hivyo katika mchezo huo Sunderland wanapaswa kujilaumu kwa nafasi ambayo walipata na kushindwa kuitumia kupitia mshambuliaji wake Steven Fletcher. Mlinda mlango Costel Pantilimon ndiye aliyeibuka shujaa katika mchezo huo kutokana na uwezo aliouonyesha kwa kuokoa hatari kadha ikiwemo mkwaju wa penati.
Thursday, 21 May 2015
Sunderland ya chekelea kutoshuka daraja
Hata hivyo katika mchezo huo Sunderland wanapaswa kujilaumu kwa nafasi ambayo walipata na kushindwa kuitumia kupitia mshambuliaji wake Steven Fletcher. Mlinda mlango Costel Pantilimon ndiye aliyeibuka shujaa katika mchezo huo kutokana na uwezo aliouonyesha kwa kuokoa hatari kadha ikiwemo mkwaju wa penati.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment