Chansela wa Ujerumani Angela Merkel amekariri kuwa vikwazo hivyo vimewekwa mahsusi ili kutatua tatizo hilo , na iwapo utawala wa Moscow utauendeleza mkataba huo wa amani basi bila shaka vitaondolewa.
Kwa mara ya pili tangu mzozo huo na Ukrain utokee rais Putin hakualikwa kwenye kikao hicho licha ya Urusi kuwa mwanachama wa G7.
No comments:
Post a Comment