Matokeo haya yanaendeleza ubabe wa taifa la Ufaransa kwa upande wa soka la wanawake, ambapo takribani miaka 41, England haijafanikiwa kuwashinda wapinzani wao hao.
Na katika viwanja vingine Hispania ilicheza dhidi ya Costa Rica,matokeo ni.moja moja.... Nayo Colombia ilivaana na Mexico, katika kipute hicho Colombia na Mexico nayo, moja moja. Na hatimaye Brazil walifumania nyavu mara mbili na korea ya kusini waliondoka kichwa chini.
No comments:
Post a Comment