Friday, 2 May 2014

Urusi kujiunga tena na G8


Kwa mara ya kwanza Urusi itajiunga katika kongamano la G8 utakaofanyika Mei 5-6.
urusi-kujiunga-tena-na-g8Hapo awali Urusi ilijitoa kutoka kongamano la G8 Kwa sababu ya migogoro ulioko baina yake  na  Ukraine.  Urusi itajiunga katika kongamano la G8 utakaofanyika Mei 5-6 Mjini Rome huku nchi zingine zitakazotokea zikiwemo Ujerumani, Uingereza, Ufaransa, Italia, Marekani, Canada na Japan.Wataalam katika mkutano utakaohudhuriwa tu na mawaziri wa nishati wa Umoja wa Ulaya (EU) na watazingatia njama ya kupunguza   utegemezi wa Nishati kutoka Urusi na hilo litakuwa  ajenda kuu.
Urusi ilijiunga na G8 lenye umaarufu wa kuwa kikundi lenye uwezo mkubwa mwaka wa 1998.katika hague ambako nchi zingine saba zikiwemo Ujerumani, Uingereza, Ufaransa, Italia, Marekani, Canada na Japan ziliungana mikono pamoja .Urusi ulibanduliwa nje ya G8 mnamo mwezi juni juu ya migogoro yake na UKraine.

No comments: