Sunday, 4 May 2014

Waangalizi wa kijeshi waachiliwa huru

waangalizi-wa-kijeshi-waachiliwa-huruWaangalizi 7 wa kijeshi wa kimataifa, ambao walikuwa wanahudumia kama sehemu ya ujumbe katika mashariki mwa Ukraine wakati wao walikamatwa na makundi zinazounga mkono Urusi wiki iliyopita, wameachiliwa huru ripoti ilisema.

Msemaji wa makundi zinazounga mkono Urusi alisema waangalizi hawo  waliachiliwa kama ishara ya  nia njema .Inaripotiwa kuwa waangalizi hawo waliondoka  Sloviansk, ambapo kazi ya  jeshi la Kiukreni bado unaendelea, lakini hakuna taarifa zozote  zinazotolewa  kuhusiana na penye  walichukuliwa.
Mwakilishi wa Urusi Vladimir Lukin ambaye alikuwa anafanya mashauriano juu ya kuachiliwa  kwa waangalizi hawo  wa kijeshi, aliwaambia  waandishi wa habari kuwa watu wote 12 ambao walikuwa katika orodha yake  wamekuwa huru.
Waangalizi  wanane wa kijeshi, ambao walikuwa wametumwa  katika Ukraine na Shirika la Usalama na Ushirikiano barani Ulaya (OSCE) na maafisa watano wa kijeshi  la Kiukren walikamatwa na makundi  zinazounga mkono Urusi  wiki iliyopita na kupelekwa  Sloviansk.
Mwaangalizi wa Swedish aliachiliwa huru hapoa  awali kutokana na matatizo ya kiafya. Timu hio ilihusisha maafisa wanne wa Ujerumani, Polish mmoja, Czech   na afisa mmoja wa Kidenmark.

No comments: