Kulingana na msemaji wa gazeti la Review,Dolezal amesema kuwa yeye ni mchanganyiko wa mtu mweupe,mweusi na muhindi wa Marekani katika ombi lake alilowasilisha kwa tume ya polisi inayosimamia malalamishi ya raia mnamo mwezi Januari.
Ombi hilo sasa linachunguzwa.Meya wa mji wa Spokane David Condon na rais wa baraza la mji huo Ben Stuckart alitoa taarifa.
Kwa miaka mingi Rachel Dolezal anasema kuwa yeye ni mzaliwa mwenye mizizi ya Kiafrika na Marekani madai ambayo wazazi wake wamekana.Nilikutana na Rachel Dolezal na sikuwa na wasiwasi kuhusu anakotoka.
Wazazi wa Dolezal ambao ni wazungu Ruthanne na Lawrence wamesema kuwa ni mwana wao wa kumzaa.
No comments:
Post a Comment