Taarifa rasmi zilizotolewa na klabu ya Azam ni kwamba Domayo amesaini mkataba wa miaka miwili wa kujiunga na mabingwa wa VPL baada ya kumaliza mkataba wake wa miaka mwili na Yanga.
Domayo anakuwa mchezaji wa pili kuondoka rasmi Yanga ndani ya siku mbili – huku kukiwa na taarifa kwamba mchezaji mwingine anayetajwa kuondoka jangwani ni aidha Emmanuel Okwi au Mbuyu Twite.
No comments:
Post a Comment